JF UDAKU September Edition......

JF UDAKU September Edition......

Mzee wa liddabokibini soo limemwangukia du CC Asprin CC Nivea niambe ulifata nini kwa huyo bazazi?? ila kiufupi mimi niliendesha operation kimbunga vizuri nikiwa na Mzee wa lula wahamihaji haramu tumewapeleka kwao ila wasi wasi ni juu ya Mtambuzi kuwa na uhuziano wa karibu na PK sasa hapo inanitiashaka kma alitumwa na TG au yeye mwenyewe kama independent mediator ? halafu gfsonwin yawezekana maana nisiku nyingi sijamtia jichoni kumbe kupotea kwake ni mipango mahususi ya westgate!Ila asubiri Ukinyatta atamtilia timu hivi karibuni na wewe babav yakupasa vitu vingine kuviweka undercapet maana ni vizito!!jamo gazeti lako ni la zamani a.k.a motomoto nalikumbuka enzi hizo likichuana na mfanyakazi na sijui lilifiaga wapi!!
 
Last edited by a moderator:
8162_605269129486209_1049582574_n.jpg


No. Komenti.
 
Hahah huyu Nivea ni muhamiaji haramu na kajificha huku Chit chat...si unaona anaandika Kisomali :becky:

Nimemshtukia, afu kumbe ndo maana huwa anakuwa mkali tukimtaja Rage au Kinana humu ndani..
 
Last edited by a moderator:
Katika hili mwenyekiti hana msaada wa aina yoyote. Kaka ameamua uolewe. Lazima iwe hivyo.


Huo udogo wako umeupima vipi¡¿¡




Tatizo si kuvaa msuli. Njoo ule vitu vya Kizamani. Njoo ule vitu adimu.
hahaahahahaah Mzee bana wewe kiboko haya ongea kwanza na KakaKiiza amalizie ile talaka ya tatu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom