JF UDAKU September Edition......

JF UDAKU September Edition......

kweli wewe una matatizo ya akili si bure namna hii
kumsemani kaka yangu hivi wakati haumwi chochote?


5. Erickb52 hali mbaya, aonekana Muhimbili kitengo cha "Psychiatry" mkewe Chocs alonga, adai walienda kwa vipimo vya kawaida tu. Wachunguzi wa mambo wadadisi, UENYEKITI chit chat watajwa.

nimepaste:
 
Mwl Baba V akamatwa na kituo feki cha mitihani, adaiwa kuwa na mafeki ya mitihan ya form II na form IV inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni.

Mkewe amkana alipofikishwa kituo cha Staki shari na kumganda Bujibuji
 
Last edited by a moderator:
Mwl Baba V akamatwa na kituo feki cha mitihani, adaiwa kuwa na mafeki ya mitihan ya form II na form IV inayotarajiwa kufanyika hivi karibuni.

Mkewe amkana alipofikishwa kituo cha Staki shari na kumganda Bujibuji
Lile dili nilisakiziwa kutokana na juhudi zangu katika kupiga vita rushwa na madawa ya kulevya SIRIKALINI..
 
Last edited by a moderator:
7. ODM babu Asprin KWIIISHA habari yake..Yasemekana nguvu za TEMEKE sasa ni tia maji tia maji... Yadaiwa ndo kisa cha kuchezewa sharubu na vibinti. Adaiwa hataki kabisa kuskia neno "UKAGUZI" Mchakato wa kumtangaza "mstaafu" kuanza mwezi ujao, Nani atamrithi bado kitendawili....

Mbona tupo wakaguzi wasaidizi!!!?

cc; Asprin
 
Last edited by a moderator:
Ndugu mwenyekiti, Mhariri wa Gazeti. Nahisi kama umepewa HONGO kama si RUSHWA.

Ina maana ile SKENDO ya LiverpoolFC na kaundime imetupiwa kapuni????.
Mzee.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom