Mdakuzi
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 3,458
- 4,227
Last edited by a moderator:
.
C 66666666666666
.
Pamoja sana,
.
litakuwa jambo la mana sana, kama atafikisha litafanyika suala hilo,
.
natumai kula bado zinaendelea,
mana mpaka sasa,
REPLY zimefika 36 na kati ya hzo,
sio zote ni kula bali kuna,
vitu kama hoja n.k,
.
TUENDELEE WAKUU KU VOTE
.
Haahahahaa hii kitu inaonyesha personality ya mtu wala usishangae vile! Ukienda majukwaa mengine utakuta watu wana likes 10000+ na wametoa likes 11000+ kwa member wengine. mfano (Invisible)chief-mkwawa jamaa yuko vizuri sana undisputed ila sijawahi ona like yake hata moja kwa member yeyote humu jukwaani.
Good observation yaani nimeshtuka kuwa users wa hii kitu wako around 10,000
There is no UNITY among the pioneers vinginevyo hata week isingepita tunge-come up na soln
mimi ni huyu @c6[/QUOT
Tunajua huyu ndiye mpinzani wako ,kura yangu ni Chief mkwawa!mimi huwa unaniburudisha sana kwenye mijadala ya nokia kwa kifupi umeninulisha nokia -mitaa yangu ni sony(die hard)samsung.