JF scheduled system upgrade

JF scheduled system upgrade

Status
Not open for further replies.

Maxence Melo

JF Founder
JF Staff
Joined
Feb 10, 2006
Posts
4,432
Reaction score
15,847
Kuna ujumbe unatokezea kwa wengi unasomeka hivi:

JF will be undergoing a major system upgrade. The system is scheduled to be offline beginning 6:30pm EAT on Oct 04, 2013. You may see several error messages; please ignore them! Updates on the progress will be posted on
FikraPevu, JamiiForums on Facebook and JamiiForums on twitter

Naomba kuwafahamisha kuwa tunaboresha miundombinu yetu kiutendaji ili kuongeza ufanisi.

Endapo kutakuwa na mwenye BREAKING NEWS ambayo angependa isambazwe haraka, anaweza kutuma habari kuja habari@jamiiforums.com au macdemelo@gmail.com nasi tutaisambaza haraka sana kwenye mitandao ya Twitter, Facebook na FikraPevu.

Asanteni

===========
UPDATE:

Mchakato umesitishwa hadi itakapopangwa upya kutokana na kutoridhishwa na matokeo ya mwisho ambayo hatukuona yanafaa kuletwa kwa wateja wetu kutumika
 
mniwekee na kile kidude cha like jamani sijawahi kumpa mtu like toka nizaliwe
Unatumia SIMU? Kama ni simu, kuna viunganishi (apps) vinakupa fursa ya kubonyeza LIKE. Kama ni 'mchina' basi inakuwa ni vigumu kidogo.

Kama ni Simu au tablet ya Android, nenda kwenye Google Play, search for JamiiForums utakipata kiunganishi kirahisi.

Kama ni simu ya iPhone/iPad basi ingia App Store, search for JamiiForums and install it.

Baada ya kufanya marekebisho ya miundombinu yanayofanyika leo, tutaenda ngwe ya pili (mwezi huu huu) ambapo mabadiliko kimwonekano na urahisishaji zaidi vitafanyika. Tulishaahidi kuboresha upande wa LIKE na kinyume chake. Wengi walitaka kiwepo kitufe cha kuzomea wanaoandika pumba nasi tumeona vema tuwasikilize walio wengi.

Asante
 
I will get bored waiting! .... THANKS anyway to get things going

dog-yawning.jpg
 
Mkuu,

Uzoefu unafunza mengi. Hivyo, tumejipanga kwa hili na tutahakikisha linaharakishwa zaidi ya awali ilivyokuwa ikitokea.

Asante
Mkuu Maxence Melo mabadiliko lazima tuendane nayo hatuwezi kuwa nyuma ya mabadiliko ila inabidi kwenda nayo na kingine asante sana kwa kitufe cha Dislike japo dah itabidi kuangalia sana comments zetu sasa tusipewe usije ukawa na dislike nyingi kuliko Likes
 
Last edited by a moderator:
Taarifa imefika , ingekuwa bomba kama tungejulisha muda ambao tutarudi tena hewani .
 
Asanteni kwa Taarifa Mr. Melo na JF Teams.
Aisee mnastahili Pongezi sana. Nasupport kitufe cha Dislike maana kitapunguza watu kupost vitu visivyo na tija.
Tunayasubiri mabadiliko kwa hamu kubwa.
Bravo JF.

Kuna ujumbe unatokezea kwa wengi unasomeka hivi:

JF will be undergoing a major system upgrade. The system is scheduled to be offline beginning 6:30pm EAT on Oct 04, 2013. You may see several error messages; please ignore them! Updates on the progress will be posted on
FikraPevu, JamiiForums on Facebook and JamiiForums on twitter

Naomba kuwafahamisha kuwa tunaboresha miundombinu yetu kiutendaji ili kuongeza ufanisi.

Endapo kutakuwa na mwenye BREAKING NEWS ambayo angependa isambazwe haraka, anaweza kutuma habari kuja habari@jamiiforums.com au macdemelo@gmail.com nasi tutaisambaza haraka sana kwenye mitandao ya Twitter, Facebook na FikraPevu.

Asanteni
 
Addicted lol! Hukawii kuamka usiku wa manane kuchungulia nini kinaendelea JF LOL! Have a great weekend Mkuu.
BAK ndo hapo aise unashangaa haiko hewani na wajue sio wote ni member wa facebook bana
Asante sana mkuu weekend njema na wewe pia
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Mweeeeeeeeeee!!!! Let me stock enough stuff in my refrigerator. Sitaki shida

fridge+full+of+booze.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom