Unatumia SIMU? Kama ni simu, kuna viunganishi (apps) vinakupa fursa ya kubonyeza LIKE. Kama ni 'mchina' basi inakuwa ni vigumu kidogo.
Kama ni Simu au tablet ya Android, nenda kwenye Google Play, search for JamiiForums utakipata kiunganishi kirahisi.
Kama ni simu ya iPhone/iPad basi ingia App Store, search for JamiiForums and install it.
Baada ya kufanya marekebisho ya miundombinu yanayofanyika leo, tutaenda ngwe ya pili (mwezi huu huu) ambapo mabadiliko kimwonekano na urahisishaji zaidi vitafanyika. Tulishaahidi kuboresha upande wa LIKE na kinyume chake. Wengi walitaka kiwepo kitufe cha kuzomea wanaoandika pumba nasi tumeona vema tuwasikilize walio wengi.
Asante
Unatumia SIMU? Kama ni simu, kuna viunganishi (apps) vinakupa fursa ya kubonyeza LIKE. Kama ni 'mchina' basi inakuwa ni vigumu kidogo.
Kama ni Simu au tablet ya Android, nenda kwenye Google Play, search for JamiiForums utakipata kiunganishi kirahisi.
Kama ni simu ya iPhone/iPad basi ingia App Store, search for JamiiForums and install it.
Baada ya kufanya marekebisho ya miundombinu yanayofanyika leo, tutaenda ngwe ya pili (mwezi huu huu) ambapo mabadiliko kimwonekano na urahisishaji zaidi vitafanyika. Tulishaahidi kuboresha upande wa LIKE na kinyume chake. Wengi walitaka kiwepo kitufe cha kuzomea wanaoandika pumba nasi tumeona vema tuwasikilize walio wengi.
Asante
Umeishawaharibia siku vijana wa mtaa wa togo.Kuna ujumbe unatokezea kwa wengi unasomeka hivi:
JF will be undergoing a major system upgrade. The system is scheduled to be offline beginning 6:30pm EAT on Oct 04, 2013. You may see several error messages; please ignore them! Updates on the progress will be posted on FikraPevu, JamiiForums on Facebook and JamiiForums on twitter
Naomba kuwafahamisha kuwa tunaboresha miundombinu yetu kiutendaji ili kuongeza ufanisi.
Endapo kutakuwa na mwenye BREAKING NEWS ambayo angependa isambazwe haraka, anaweza kutuma habari kuja habari@jamiiforums.com au macdemelo@gmail.com nasi tutaisambaza haraka sana kwenye mitandao ya Twitter, Facebook na FikraPevu.
Asanteni
Mweeeeeeeeeee!!!! Let me stock enough stuff in my refrigerator. Sitaki shida
![]()