Jf raha jamani...!

Jf raha jamani...!

6alfabet

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2013
Posts
389
Reaction score
69
Habari ya hapa ndani waungwana? ukweli tutakubaliana humu ndani kuna raha yake jamani kuna watu kazi yao nikuwafanya watu tuwe na furaha kila tuingiapo humu ndani mf.kuna mtu ana itwa Tangopori huyu bwana kila "post" ye anataka "picha" tu basi mie hoi wakina madmB,heaven,na wengine wengi.mungu atubariki jamani.
 
Ngoja nimuige Tangopoli weka picha ha aha aha ha aha aha aaha!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
..muwekee picha akija ataulizia tu...
 
Habari ya hapa ndani waungwana? ukweli tutakubaliana humu ndani kuna raha yake jamani kuna watu kazi yao nikuwafanya watu tuwe na furaha kila tuingiapo humu ndani mf.kuna mtu ana itwa Tangopori huyu bwana kila "post" ye anataka "picha" tu basi mie hoi wakina madmB,heaven,na wengine wengi.mungu atubariki jamani.

Kwanini mimi hujanitaja?

Haya jinsia yako tafazali?

Kama ni KE, sikumbuki kama nlishakukagua. U kam zis wei chapchap sana.... tena without...
 
Mpwa hebu nipe mwongozo, huu mwandiko kama wa jinsia pinzani? Nisije nikaingia choo chao wallah


Mie nimeangalia majina yanayomfurahisha....nahisi siyo aina ya kuku anayeweza kula mayai yake....

Babu DC!!
 
Mpwa hebu nipe mwongozo, huu mwandiko kama wa jinsia pinzani? Nisije nikaingia choo chao wallah

Hahaha!!! mpwa kuna wakati mwingine inabidi ukaushe tu usubirie hadi mtu ajichanganye....mi mwenyewe hata sielewi hapa tunadili na ME au KE
 
Hahaha!!! mpwa kuna wakati mwingine inabidi ukaushe tu usubirie hadi mtu ajichanganye....mi mwenyewe hata sielewi hapa tunadili na ME au KE

hapa hajichanganyi mtu nyie jadilini tu me au mke mtakesha
 
Back
Top Bottom