Dreamliner
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 2,034
- 213
Hongera Bibie.......... Usiache kuingia humu ng'o?
haina shida kila mtu anaishi kwake kwa sasa tunataka kuhalalisha kila kitukama una kaujauzito tayari mmeshaoana hakuna haja ya kufunga ndoa nyingine. Yaani umefanya naye uasherati then mnafunga ndoa! Labda uniambie mnapasha kiporo.
Nimepata mwenza hapa jf tunafunga ni mwanaume wa aina yake ndoa tar 28/11/2011
niko na kaujauzito ka mwezi
nashukuru sana jf
nitawatumia kadi baadhi siku ikifika
karibuni sana
ni ushuhuda wa kweli
uje ushike na mauahongera mwaya utualike kula hiyo pilau
wewe umevunja mara ngapi?yaani wewe unavunja amri ya sita kabla ya padri kuwahalalishia khaaa..
naomba nimjibie coz mm ndo matron wake siku ya harusi! alikua anataka kidumu kwa bahati mbaya akapata pipa!ulikuwa unataka mume au mimba??????????i
yahh usiache mwaya waweza pata mume wa pili!Hongera Bibie.......... Usiache kuingia humu ng'o?
Nimepata mwenza hapa jf tunafunga ni mwanaume wa aina yake ndoa tar 28/11/2011
niko na kaujauzito ka mwezi
nashukuru sana jf
nitawatumia kadi baadhi siku ikifika
karibuni sana
ni ushuhuda wa kweli
Hongereni.Mungu awe nanyi katika maisha mapya!
Zayon dota....
asante sanahongera sana mwanangu mungu awabariki mpate watoto wa kike na wakiume na wajukuu waizunguke meza yenu.
preta karibu sanammmh....sikuwezi.....
nita kupm mpendwahongera eeh. Naomba mwongozo wa ubwabwa.