Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,413
- 55,987
Wamejaa huku kibaoooHuko mahala pake na m'bande kisewe pia
Wamejaa huku kibaoooHuko mahala pake na m'bande kisewe pia
Hivi wakurya wapo mpaka Kisewe?Huko mahala pake na m'bande kisewe pia
Wamejaa kuanzia mbondole hadi kisewe yote yao.Hivi wakurya wapo mpaka Kisewe?
Mbondole ninafahamu ila hii ya Kisewe nilikuwa sina taarifa nayoWamejaa kuanzia mbondole hadi kisewe yote yao.
Ndiyo ivyo..wapo tele na nyankibatari Kama kawa.Mbondole ninafahamu ila hii ya Kisewe nilikuwa sina taarifa nayo
Huku Kivule kidogo makabila mengine yameanza kujaa hivyo wanafanya kwa kificho sanaNdiyo ivyo..wapo tele na nyankibatari Kama kawa.
OkayWamejaa huku kibaooo
Serikali iwe serious na hao watu jamani khaa!!Huku Kivule kidogo makabila mengine yameanza kujaa hivyo wanafanya kwa kificho sana
yna2, wanasemaga hakuna kitu kigumu kupambana nacho kwa kutumia nguvu za dola kama IMANI. Hawa ndugu zetu shule ndio inaweza kuwa mkombozi wao zaidi ya nguvu ya risasi na virunguSerikali iwe serious na hao watu jamani khaa!!
sawa mkuuItapendeza Sana, barabara hi imejengwa kwa msaada wa JamiiForums Kuvule
very trueBuza ninkaribu na mwanagati sio kivule
😂😂 Umejawa upako wa suguye au siyo..!!😂Mie naishi kivule unashuka matembele ya pili
poaMie naishi kivule unashuka matembele ya pili
😂 😂 😂 😂 😂 😂😂😂 Umejawa upako wa suguye au siyo..!!😂
Nyakibatari ndo nini dea?Ndiyo ivyo..wapo tele na nyankibatari Kama kawa.
Nyakibatari ndo nini dea?
FGMNyakibatari ndo nini dea?
UkeketajiNyakibatari ndo nini dea?