amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,103
- 30,987
Ina maana watoto wanaozaliwa kivile wanakeketwa?Ukeketaji
DSM hii hii mjini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana watoto wanaozaliwa kivile wanakeketwa?Ukeketaji
Ndiyo rafikiIna maana watoto wanaozaliwa kivile wanakeketwa?
DSM hii hii mjini?
NdioIna maana watoto wanaozaliwa kivile wanakeketwa?
DSM hii hii mjini?
Mpk last year mmeshuhudiaIna maana watoto wanaozaliwa kivile wanakeketwa?
DSM hii hii mjini?
Ulishuhudia kabisa?
Ina maana hawa vijana wetu wanaweza kuoa wadada waliofanyiwa.Ndiyo rafiki
Unataka kununua au kuuza mayai?Watu wa kivule naombeni connection ya mtu anayechukua mayai ya kizungu kwa wingi kama tray 2000 na kuendelea.
Anipe connection ya mfugaji.
Kwa ufupi naombeni connection ya mayai kutoka shamba sitaki kununua hapo banana.
Karibu miaka 20 nimekuwa napita hapo, Sasa hivi mkandarasi yuko site mambo yatakuwa moto, juzi jumapili nimepita pia pamechongwa vizuri saaana.Jumapili naenda uko pia nitakupigia picha uzione.Kuna siku moja nilikuwa ninaenda Mbagala huko Kilungule sasa nikaona ni bora nipite shortcut ya hapo dampo mlimani. eebwana eeh, bado kidogo gari igome brakes nirudi reverse. hakika Mungu ni mwema.
Jirani yangu Mama yake alikuwa Bingwa wa haya mambo Wakuria wote wanamfahamu, alikuwa analetewa watoto hapo nyumbani kama kambi, bahati mbaya yule Bibi alifariki.Ina maana watoto wanaozaliwa kivile wanakeketwa?
DSM hii hii mjini?
Kununua na kuuza.Unataka kununua au kuuza mayai?
Hapo ni kivule eti?Jirani yangu Mama yake alikuwa Bingwa wa haya mambo Wakuria wote wanamfahamu, alikuwa analetewa watoto hapo nyumbani kama kambi, bahati mbaya yule Bibi alifariki.
Poa ngoja nikutafutie alafu nitakwambiaKununua na kuuza.
Lakini sitaki kununua kwa dalali.
Nataka kwa mkulima.
Niyafate shamba.
Hao ni wakurya. Karibu sana kwetu KivuleKila nikipita kivule nakutaga watu wamevaaa kama vinyago na wanapita na mapanga wamepaka rangi.
Kabila gan hao?? Utadhan sio daslam.
Ila siku hizi atleast road imerekebishwa
Wasambu hao(ndo waliotahiriwa hao)Kila nikipita kivule nakutaga watu wamevaaa kama vinyago na wanapita na mapanga wamepaka rangi.
Kabila gan hao?? Utadhan sio daslam.
Ila siku hizi atleast road imerekebishwa
SawaaahAkikujibu nitag#
Khaaaaaaah weeh dea, Dar hii bado kuna eneo watu wanafany juu upuuzi lol, selikali iingilie katiUkeketaji
Heeeh makubwa lol