Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #261
Kuna watu bado wapo wanafanya mila hizi potofuKhaaaaaaah weeh dea, Dar hii bado kuna eneo watu wanafany juu upuuzi lol, selikali iingilie kati
Kuna watu bado wapo wanafanya mila hizi potofuKhaaaaaaah weeh dea, Dar hii bado kuna eneo watu wanafany juu upuuzi lol, selikali iingilie kati
Ni shiiiidaHeeeh makubwa lol
Nimesikia huko ndo kwenyewe lakini wale wakurya wa banana hawatoi connection ya wakulima wanataka ununue kwao.Poa ngoja nikutafutie alafu nitakwambia
Sawa usihofuNimesikia huko ndo kwenyewe lakini wale wakurya wa banana hawatoi connection ya wakulima wanataka ununue kwao.
Wakati hicho wanachikitaka wao na mie ndo nakipigania.
wasambu?
leo nipo hapa bigstone mkuu njoo tukate lagerMagole kwa mpemba kuna shule ya msingi hapa ndo nipo
Maeneo yangu hayo ila nimesafri kwa sasaleo nipo hapa bigstone mkuu njoo tukate lager
Mkuu, hao wasambu ndio kwanza ninawasikia leo.
Nilikuwa Kivule CCMnipo magole kwa mpemba bigstone hapa aliye karibu
Sisi huwa hatuzuiwii na mipaka, huwa tunafanya tunachojisikia popote paleSiku ya Kwanza naona nilishangaa nilijua haya Mambo yapo huko kwao musoma kumbe hata dar wanayafanya Tena bila woga..cheeii
Duuuuuh selikali iingilie kati suala hili, hasa hayo maeneo husika.Kuna watu bado wapo wanafanya mila hizi potofu
KabisaaaaaaahNi shiiiida
Sawa muraaaSisi huwa hatuzuiwii na mipaka, huwa tunafanya tunachojisikia popote pale
Wazee wa mapangaSawa muraaa
Acha tu dk2 mbeleWazee wa mapanga
Kweli nina shamba langu maeneo ya hospitali mpya. Leta mwongozoShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Ndugu zangu watanzania kama kuna;
JF Members mnaokaa kata ya Kivule karibia na Kitunda huku Dar ninaomba tujuane hapa.
Nimeamua kuwaomba tuonane hapa kwa maana kwamba ndani ya mtaa na kata yetu hii kuna changamoto nyingi sana kuanzia suala zima la usafi wa mazingira, ubovu wa barabara, mimba za utotoni, wazazi kugoma kupeleka watoto shuleni pamoja na nyingine nyingi sana ambazo zinahitaji nguvu yetu ya pamoja kama wana Kivule katika kuzizatua.
UMOJA NA NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU.
OUR MOTTO: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
View attachment 1519606
PUMZIKA KWA AMANI MZEE MKAPA. VITA UMEIPIGANA NA MWENDO UMEUMALIZA BABA YETU. MUNGU AKUPE PEPO ILIYO NJEMA MZALENDO MWENZANGU.
Kweli nina shamba langu maeneo ya hospitali mpya. Leta mwongozo