Negrodemus
JF-Expert Member
- Dec 30, 2010
- 2,316
- 677
ustaaadh nikumbuke ktk hilo uwaze khs michango, nshaanza kuandaa tumbo
Ahsante kwa dua zako!Hongera sana kaka.
Mungu akupe ndoa yenye furaha daima.
Pole dada!thanks 100 times for this post hasa uliponiita kwa jina langu (usishangae hata kidogo)
Kuna mtu kaniPM KANIONESHA DHARAU flani sasa nakosa connection.
Ila sio siri kuolewa kwa siku hizi ni jambo la heri nampongeza huyo dada.
dena naanza kukuogopa kidogo kidogo
Mash-khof!ustaaadh nikumbuke ktk hilo uwaze khs michango, nshaanza kuandaa tumbo
Usisahau....vinywaji kama juice ...maji....soda ispokua vilevi utapatiwa kadri ya ubavu wako!Ninahamu ya ubwabwa kweli duh!
Teh teh teh! Umenkumbusha mahala fulani hata maji wanajinunulia.Du maalim, mi nilipoona mwaliko nikaagiza ndizi, sasa kumbe zitaharibika pilau haijulikani ni lini!
Ha ha ha Genekai hujanywa dawa ya Babu maana ukinywa ile dawa no bia, no wine, no whisky no pombe at all milele.
Haaaaaa!Duuh kumbe! Sijui itakuwaje kwa wale waheshimiwa maana wanavyopenda viti virefu! By the way hongera **
**Ustaadh hivi ndio unaanza au unakamilisha ile idadi?** Mimi ningependekeza kama mambo si mazuri sana subiri mwezi wa Ramadhani mchana. Kama jioni basi utaandaa futari tu! Si unajua hapo itakuwa Uji, magimbi, Viazi n.k Hahahaaaaaa Hongera sana!
Mkuu umenifurahisha kweli!! Kuna mmoja aliniletea card ya mchango yenye kiwango cha kuchangia! Nikamuuliza 'yaani mpendane nyie halafu muwatwange fine wengine?' Jamaa kila akiniona huwa anacheka sana japo wakati ule hakunielewa!
Usijali member!Hongera sana ustadhi, hope nta manage kufika kwenye huo mnuso, tarehe na mahala husika mkuu, fanya hima tuje kwenye ubwabwa..,