Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 117
- Thread starter
- #21
Nlipenda ifanyikie nje ya dar si lamu. Maana umuhim niwapate members wa JF wengi.Mh hiyo harusi unafanyia uwanja wa taifa?
Ok al de best!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nlipenda ifanyikie nje ya dar si lamu. Maana umuhim niwapate members wa JF wengi.Mh hiyo harusi unafanyia uwanja wa taifa?
Ok al de best!
Aoe yeye halafu tumchangie na chukia tabia ya kuchangia....tuwekee viwango vya mchango na card tutapataje!!au ni mwaliko tu wa direct bila malipo!
Ntawajuzeni!Ustaadh!
Unafanyia harusi wapi nijiandae mapema na kambi?
Fanya fasta fasta watu tupige mpunga... If she is there grab her! what are you waiting Broda!habari yenu JF!
Nimekua nafuatilia mambo mengi humu utaona wengi wetu tunapeana salam za upendo na tuna-enjoy sana.
Sasa nikikaribia ndoa yangu nawaalikeni mhudhurie...inshaallah ntaweka eneo maalum kwa members wa JF.
Msiniache jamani...kama mnavyochangia threads zangu pia mhudhurue!
I love uuuuuuu!
Nami sipendi michango...ila si vbaya ni kama swadaka .Aoe yeye halafu tumchangie na chukia tabia ya kuchangia....
Mhhh!Fanya fasta fasta watu tupige mpunga... If she is there grab her! what are you waiting Broda!
Mhhh!
If she is there.....!
Nmemkamata nae amenikamata....
Nipo naiwekea mazingira mazuri.
Nami napenda iwe hata muda huu.
Atii! Unaonaje iwe nje ya ....mkoa gani ifanyikie ili niwapate members wa JF?
Naogopa hata kumtaja anaweza kuepo humu JF.maalim juma vigeregere kidogo,rrrrrrrrrrrrrrrr,mlisema hampatiiiiiiiiii,mbona kampataaaaaaa,mlisema hampatiiiii mbona kampataaaaaaaa.hongera maalim juma
Haya mambo lazima upitie humu ili upate japo ushauri mbali mbali.Maalim nawe ndio nini kututamanisha kumbe hata tarehe hujui, mi nilivyofungua haraka haraka lol mubaya wewe. Fanyia morogoro hiyo harusi
Tuombeane afya njema na uzima. Tarehe kuitaja ndio naogopa....ila ntakujuzeni kila kitu!Ubwabwa nautamani kumbe tarehe bado. Mchokozi wewe Fanyia basi Tabora bana
Nipe mawasiliano kabla nafasi hiyo haijakamatwa na mwingine!Shekhe mi naomba nafasi ya uhasibu kwenye kamati. Hii kazi nina uzoefu nayo sana kwani nimeshafanikisha harusi nyingi sana kama mhasibu wa kamati. Kama nafasi hiyo ni ngumu basi nipeleke hata kwenye uenyekiti wa kamati ya vinywaji (kama kuna vileo) kwani naimudu vyema pia.
Tutakunywa nini mkuu, na mchango unaendaje?
Labda aje nazo kichwani...hapo ni non-alcohol...juice ...maji...Ha ha ha Genekai hujanywa dawa ya Babu maana ukinywa ile dawa no bia, no wine, no whisky no pombe at all milele.
Ila kwa maalim nadhani ni soda tu
Michango ni kama twakuuzia!Tutakunywa nini mkuu, na mchango unaendaje?
Usijali ntaipanga iwe mwanzo wa mwezi...ila bado sijajua iwe mkoa gani nje ya dar si lamu.Hiyo shughuli lini Maalim ili na sisi wa mikoani tuanze kuzichanga nauli mapema.....