Jf members hodi Mbeya nipeni dondoo

Jf members hodi Mbeya nipeni dondoo

Elia

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2009
Posts
3,425
Reaction score
569
Heey, members nipo hapa mjini kwa weekend hii. nipeni jiografia na taarifa za kiinterijensia kidogo! Nondo???
 
upande wa mashariki kuna Nondo Mla watu, upande wa magharibi kuna Nganenepa, kusini kuna Andunje na kaskanini kuna jogoo na pazi.

Stend kuna kitimoto na ugali.
 
upande wa mashariki kuna Nondo Mla watu, upande wa magharibi kuna Nganenepa, kusini kuna Andunje na kaskanini kuna jogoo na pazi.

Stend kuna kitimoto na ugali.

Pia pande za Mwanjelwa kuna moto nankuchunwa ngozi ,,,,,,,,,,,LOL
 
siku nyingi sana nilikuwa Mby, kitimoto kwa Vamponji ilikuwa Bab kubwa. Pia Garden bar kule uzunguni
 
NENDA MOJA kwa moja Tunduma utawakuta tumleshe tumgoje? umetuuzia blauzi ukasema ni shati
 
okeeeey, ni hivi ukitaka pa kupata maji ya dhahabu nenda karembu,2000,carnival,shaba au nebana hapo watu wanajichanganya kwa sana,nyama choma nzuri nenda karembu,kitimoto nenda sai pub au savoy,disco kuna pamodzi na vibe, ila vibe kuna ustaarabu sana hadi raha ya disco inapotea, mablanketi ya sufi utapata mzumbe au tia, ya magunia utapata carnival,pamodzi na ukitaka kutembelea makao yao ni katumba pamoja na old trafford nyuma ya uwanja wa sokoine.....kuna la ziada mkuu!?
 
siku nyingi sana nilikuwa Mby, kitimoto kwa Vamponji ilikuwa Bab kubwa. Pia Garden bar kule uzunguni

Haha mie nilikuwa najua mda wote Nazjaz ni muslim kumbe vamponji ilikuwa kwa sana.
 
Nashukuru sana wakuu japo ilikuwa ni tight weekend, nilikwenda kwenye harusi ya jamaa yangu. lakini nilienjoy saana. I'm back.. I will be there again Mbeya niliyokuwa naifahamu nimekuta imebadilika sana LAzima nirudi tena... ila nilikosa blanketi
 
Ukitembea usiku vaa HELMET kwa ajili ya nondo!
 
Nashukuru sana wakuu japo ilikuwa ni tight weekend, nilikwenda kwenye harusi ya jamaa yangu. lakini nilienjoy saana. I'm back.. I will be there again Mbeya niliyokuwa naifahamu nimekuta imebadilika sana LAzima nirudi tena... ila nilikosa blanketi

ulipona kupigwa nondo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom