JF imefunguliwa(?) Naipata bila VPN

Haijafunguliwa, nadhani wamejisahau tu. Baada ya muda mfupi lazima utumie VPN tena kuingia.

Matusi humu ni machache, kisichotakiwa na serekali ni ukweli.

Jukwaa hili halikufungwa kwa sababu ya matusi, bali ni kwa kuongea ukweli usioipendeza Serikali.
 
Haijafunguliwa, nadhani wamejisahau tu. Baada ya muda mfupi lazima utumie VPN tena kuingia. Matusi humu ni machache, kisichotakiwa na serekali ni ukweli. Jukwaa hili halikufingwa kwa sababu ya matusi, bali ni kwa kuongea ukweli usioipendeza serekali.

Matusi yapo. Na ukweli upo.
Kusema matusi hayapo ni kuongea uongo.

Kuhusu sababu za kufungiwa unaweza kuwa sahihi
 
Ingekuwa imerudi bila VPN ingekuwa na matangazo boss.
 
JF haikufungiwa sababu ya matusi , bali kuanika ufisadi katika mgodi wa makaa ya mawe , tuweke rekodi sawa.

Matusi yapo kila mahali, huwezi zuia matusi mahali penye mikusanyiko maana tunakutana watu wa aina tofauti, kuanzia makuzi hata exposure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…