Haijafunguliwa.
Saazingine huwa app inamissbihave inaachia na baadaye kujifunga tena.
Emb rudi nyuma uone kama utaweza kuingia bila Vpn mkuu.
Haijafunguliwa, nadhani wamejisahau tu. Baada ya muda mfupi lazima utumie VPN tena kuingia. Matusi humu ni machache, kisichotakiwa na serekali ni ukweli. Jukwaa hili halikufingwa kwa sababu ya matusi, bali ni kwa kuongea ukweli usioipendeza serekali.
Unatumia nini?Situmii app.
Waliokuwa wanashindwa ku access JF kipindi imefungiwa nawaona masnitch au watu primitive wasiojua wapo katika kizazi gani.
Ingekuwa imerudi bila VPN ingekuwa na matangazo boss.Hamjambo wote!
1. Turudi kwenye majukwaa, vilinge na vijiwe vyetu.
2. Matusi tupunguze maana kuacha kabisa kuna watu najua hawataweza.
3. Uzushi, bullying, kejeli, kuvuana nguo tuache.
4. Ukosoaji uendelee sambamba na suluhu kwa Kila ukosoaji.
Haina maana kukosoa bila kutoa suluhu kwa kile unachokosoa.
5. Kupongeza kusizidi hasa kwa kile kikosi kazi cha uchawa. Kwa sababu uchawa ukizidi wengine uvumilivu huwa Mdogo hujikuta wanatukana.
6. Mada za elimu, kuonya, burudani, kupiga soga, kuchombeza, fursa, n.k. ziendelee.
7. Tuwape Uhuru vijana wetu wadogo wale wenyw umri wa kujadili ngono, uchakataji, mapenzi kufanya hivyo bila kuwa kejeli kwani huo ni umri wao.
Lakini pia wapo watu wazima wachache ambao kwao hiyo ni starehe na hobby.
8. Mabishano na uchokozi wa hapa na pale ni muhimu kuchangamsha kijiwe lakini usizidi.
Sisi wengine hatuwezi ishi sehemu tulivu bila kuona hekaheka, uchokozi,
9. Mada tata zianzishwe, zile ambazo wengine hasa watu wengi huogopa kujadili. Ndio maana ya kutumia anonymous.
10. Spana ziendelee kama kawaida bila kumuangalia mtu usoni. Dadeki!
11. Kumekucha
Kazi ianze.
Unatumia nini?
Mimi lazima nitukane na sipaswi kuingiliwa maana natukana wanaopaswa kutukanwa.
Soma uelewe acha haraka, nimesema matusi ni machache, sijasema hayapo.Matusi yapo. Na ukweli upo.
Kusema matusi hayapo ni kuongea uongo.
Kuhusu sababu za kufungiwa unaweza kuwa sahihi
Ingekuwa imerudi bila VPN ingekuwa na matangazo boss.
Soma uelewe acha haraka, nimesema matusi ni machache, sijasema hayapo.
Hii ni kwa mfupi tu, na sio mara ya kwanza leo.Huenda.
Najaribu kusema unaweza kui access bila vpn
Uzushi ni sehemu ya jamii kwa ujumla, na sio tatizo la jf tu. Hata nje ya mitandao uzushi upo.Kama ni hvyo Sawa.
Uzushi nao ni mwingi pia.
Opera haitumii Vpn siku zote.Chrome au opera
Uzushi ni sehemu ya jamii kwa ujumla, na sio tatizo la jf tu. Hata nje ya mitandao uzushi upo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤭 Mamaa wenye uwanja wenu mmeingia sasa. Game over
ChaiJF imefunguliwa sasa