JF Houseparty


😀😀😆😆

Wanywa viroba wakisikia tumekwisha
 
Kama huna mvuto tunaoutaka tutatumia kigezo cha kuingia na 500k

Mawazo ya kuwaona wanawake kama second class kwenye ulimwengu huu hayavutii hasa kwa mtu anayetumia JF.

Hujasoma na wanawake shuleni, vyuoni, huko makazini huoni wanawake wanalipwa mishahara sawa na wanaume tena wengine ni maboss.
Huko barabarani huoni wanawake wanasukuma mipira mikali.

Huoni Rais ni mwanamke, wabunge kibao wanawake.
Alafu useme waingie Bure. Umetumia kigezo gani mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…