Da'Vinci
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 36,007
- 108,555
Usafiri je?
Usafiri je?
Mtapanda pundaUsafiri je?
Sio helkopta tenaMtapanda punda
Helikopta nimewapa serikali waitumie kitengo cha maafaSio helkopta tena
HahaahahahhaHelikopta nimewapa serikali waitumie kitengo cha maafa
Sasa hivi ipo Ukara
HaahhaahhaSio helkopta tena
Basi vitz yakoHelikopta nimewapa serikali waitumie kitengo cha maafa
Sasa hivi ipo Ukara

lakini kwa mchango wa elf30 mimi naona kama ni ndogo saana
kujifidia 30 yake




INSHAALLAH
Watu wamekataa kuwekwa public.mungeweka na idadai ya waliochangia mpaka sasa ili kama nafasi imejaa ili wengine tusiendelee kuchangia maana binafsi ndio nimeuona huu uzi leo ila naunga mkono saana hoja. japo kosa ni watu sabini hali ya kuwa tupo maelfu humu.
Yaani watu wote mmelipiwa!! Mbona hakuna mtu anataka kulipiwa!?
Mm bado






Hahahahaha wewe naogopa kupigwa aise
Jamani yamekuwa hayo wa kukupiga hakuna ebu nilipie bwana halafu tutaenda wote