Mchango sio shida jirani..Tukatafute viwalo kwanza..Siku hiyo nataka utokelezee mpaka nitamani kukutongoza upya..Sasa jirani usipochangamka hizo fursa utaishia kuzisikia tu... Hebu fanya manuvaz basi tuserereke
Mchango sio shida jirani..Tukatafute viwalo kwanza..Siku hiyo nataka utokelezee mpaka nitamani kukutongoza upya..
Naomba siku hiyo uvae dera tafadhali..Mmmmmmh!!! Kuna nini kinajiri hapa?
Naomba siku hiyo uvae dera tafadhali..
Usinambie tu na huyu umejimilisha mwanamke weweHivi kugandana na waume za watu utaacha lini?
@espy atasaga chupa anywe wallahMchango sio shida jirani..Tukatafute viwalo kwanza..Siku hiyo nataka utokelezee mpaka nitamani kukutongoza upya..
Usinambie tu na huyu umejimilisha mwanamke wewe
@espy atasaga chupa anywe wallah
@moo11 kazi anayo tena si ndogoHuyu ni wangu daima dumu.
Hili la papo kwa Papo liko vyema wadiiMimi ushauri wangu mngeweka angalau siti za ziada walau ishirini za kuja kulipia papo kwa hapo maana si wengne kazi zetu hiyo siku inaweza kudondokea tupo zamu au tusiwepo zamu maana hakuna uhakika wa moja kwa moja hivyo si vyema kutoa pesa mapema...
pia Naomba kuelekezwa hilo eneo ukitokea chang'ombe
ntashukuru sana endapo nitajibiwa
@moo11 kazi anayo tena si ndogo