ephen_
JF-Expert Member
- Oct 28, 2022
- 18,839
- 68,323
Sasa wewe si ulete hizo mada tofauti na hizoWala, lakini Siku hizi id nyingi ni za Gen Zs.
Na mada zao nyingi ni kuwakandia single mothers, mikeka na ngono
Sasa wewe si ulete hizo mada tofauti na hizoWala, lakini Siku hizi id nyingi ni za Gen Zs.
Na mada zao nyingi ni kuwakandia single mothers, mikeka na ngono
Jando si wanafundisha kuishi na mwanamke?😀😀😀 Una taka utest mitambo!?
Unalijua jando la dede na bila ganzi wewe?
Jando ni mafunzo maalum ya kimila na kitamaduni yanayotolewa kwa wavulana au vijana wa kiume wanapovunja ungo (kubalehe) ili kuwaandaa kuingia katika hatua ya utu uzima. Katika jamii nyingi za Kitanzania na Afrika Mashariki, mchakato huu huenda sambamba na kitendo cha toharaJando si wanafundisha kuishi na mwanamke?
Na mimi niende nje ya mada, hongera mpendwa umekuzaNje ya mada
Binti yangu kaniuliza kuhusu jamii forum Leo. Anaingia second year.
Nimemjibu ni jukwaa la great thinker kiukweli kazunguka humu nimepigwa spana natoa macho nakutana na mada hii.
Majibu yangu hayaeleweki
mwambie aje na akili yake ya kuzaliwa, jf ya 2026 sio ya 2016Nje ya mada
Binti yangu kaniuliza kuhusu jamii forum Leo. Anaingia second year.
Nimemjibu ni jukwaa la great thinker kiukweli kazunguka humu nimji9epigwa spana natoa macho nakutana na mada hii.
Majibu yangu hayaeleweki
Inasikitisha sana mkuuMada zao maarufu
Puchu na kukandia ndoa na singo maza😂
Lazima atakuwa amekutana na msamiati kama:Ka view baadhi ya thread yaani kakutana na misamiati hiyoo.
Yuko tu mom angalia hii maana yake Nini. Mama hawa watu hawana morals
Nashukuru tu kuna foundation nimemuwekea sasa namtambulisha hii dunia mpya. Maana hata hii likizo ikiisha amesema hatarudi tena mpaka amalize masomo yake.
Umekuza mchepuko?Khantwe hata Mimi nimekuza ujueView attachment 3615717
Yaani umepatia kabisaLazima atakuwa amekutana na msamiati kama:
Makebo,
Kunyetuka,
Kudinya,
Mbususu,
Kiadriz,
Jagina,
Maanabelle
Etc.
Nimemwambia Mengine ni maamuzi yake sasamwambie aje na akili yake ya kuzaliwa, jf ya 2026 sio ya 2016
Asante, namshukuru Mungu kwa hiloNa mimi niende nje ya mada, hongera mpendwa umekuza