JF Freestyle battle special thread

JF Freestyle battle special thread

Kaskazini baridi , ndugu zako tunaganda
hadi mvua zenye radi, Mola ndiye atulinda
tumezipanda saladi, ili njaa kuishinda
tumeiweka ahadi, wala hatutoipinda
kweli tutajitahidi, japo twavaa marinda!
wanikumbusha mbali,vile wasema marinda
marinda vazi laheshima,kwa watz wa miaka ya nyuma
wazee wetu waliringa,walipovaa marinda
wazee licheka sana walipokunywa mirinda

kaka tuache kucheka,turudi kwenye ile hoja
nina siku thelathini,nabeba ile jumla jumla
kaka naomba ahadi,ili niende na muda
kaka sikusumbui,ila nakukumbusha
leo nimefurahi uliponikumbusha marinda
 
"th best" why pick me nigga if u dont b'liv I am,
man control your charm, al control my calm,
You Idd Amin, natuma kwako salam,
kama Nyerere in 19-seventy nine, the old man frm Butiama,

will take you from your hide-out,
and bring you to your fall-down,
4ever all be wearing the crown.

player get your mind right,
I'm about to flip the script
your freestyle battle aint legit
you acting like I aint the one
then why you trying to get me to battle you, Nyerere's grandson?
man you don't wanna battle me or my 5 year old cousin
stop running around acting like you gonna do somethin
we all know you frontin'

kijana tuliza boli, angalia usije kupaisha
kama vipi,kaa pembeni nikuonyeshe ball control kama ya Hussein Marsha
mistari yako haileweki utadhani maelezo ya waziri Masha
naona unahema kwa spidi, vipi umeanza kuchemsha?
 
wanikumbusha mbali,vile wasema marinda
marinda vazi laheshima,kwa watz wa miaka ya nyuma
wazee wetu waliringa,walipovaa marinda
wazee licheka sana walipokunywa mirinda

kaka tuache kucheka,turudi kwenye ile hoja
nina siku thelathini,nabeba ile jumla jumla
kaka naomba ahadi,ili niende na muda
kaka sikusumbui,ila nakukumbusha
leo nimefurahi uliponikumbusha marinda

Mimi nikishaahidi, sipendi kurudi nyuma
Kweli nitajitahidi, upate kubeba Mama
Najua yamekuzidi, ndio mana walalama
Kama Samaki na Maji, tuko pamoja na wewe

Tutakuwa mashahidi, wa hii ndoa adhima
Tutajazana kwa kadhi, wala usijetetema
Wale wanywaji wa kyindi, najua wataachama
Kama Samaki na Maji, tuko pamoja na wewe

Nguli taleta spedi, XPIN mtama
WOS anayo magadi, Porjie kuni atatema
blurey ana kadi, bht ulanzi atagema
Kama Samaki na Maji, tuko pamoja na wewe.
 
uliyeanzisha beto hii (nguli) ni kinda
wewe kwa sasa chako kitanda
huu ni uwanja wa makamanda
mkuu wa kikosi mie mziwanda
mziwanda nina sura ya Pinda
mtoto tutakuandalia sanda

u feel me niggah!!!
 
uliyeanzisha beto hii (nguli) ni kinda
wewe kwa sasa chako kitanda
huu ni uwanja wa makamanda
mkuu wa kikosi mie mziwanda
mziwanda nina sura ya Pinda
mtoto tutakuandalia sanda

u feel me niggah!!!

Mzindakaya ooo no Mzindaya mbona wanitusi?
Nitakutokea hapo nikupe za uso unione nuksi,
Kughani kunakushinda unaanza kupiga fiksi,
Kwanza nitakupiga wapi mtu mwenyew mfupi ka fisi.
Labda nije kukuparua parua na kiwembe zako chunusi.

Umemfanya hadi invisible kakacha kutema wake ushairi,
Shauri ya pumba zako zimemfanya aone thread kama shubiri,
Ngoja nipige kazi nisubiri jibu la lako likiniuzi nakutupa burundi.
 
player get your mind right,
I'm about to flip the script
your freestyle battle aint legit
you acting like I aint the one
then why you trying to get me to battle you, Nyerere's grandson?
man you don't wanna battle me or my 5 year old cousin
stop running around acting like you gonna do somethin
we all know you frontin'

kijana tuliza boli, angalia usije kupaisha
kama vipi,kaa pembeni nikuonyeshe ball control kama ya Hussein Marsha
mistari yako haileweki utadhani maelezo ya waziri Masha
naona unahema kwa spidi, vipi umeanza kuchemsha?

dont hate the player nigga hate the game,
much respect though yo style's still the same,
no hatin but yo flow is tight,
battling you am ma' quit,
coz nigga you aint talking shit,
am here to put the record straight,
am ma' put you on yo place,

this is a battle but am ma win the war,
hav an' will always be a shining star,
 
Mzindakaya ooo no Mzindaya mbona wanitusi?
Nitakutokea hapo nikupe za uso unione nuksi,
Kughani kunakushinda unaanza kupiga fiksi,
Kwanza nitakupiga wapi mtu mwenyew mfupi ka fisi.
Labda nije kukuparua parua na kiwembe zako chunusi.

Umemfanya hadi invisible kakacha kutema wake ushairi,
Shauri ya pumba zako zimemfanya aone thread kama shubiri,
Ngoja nipige kazi nisubiri jibu la lako likiniuzi nakutupa burundi.

ah nguli, umekuwa jon cena!
njoo nikupe za kichina
fanya fasta kungali mchana
kwa taarifa yako niko fiti, niko gado, niko pina
invisible kazi zimembana
wacha kujititiea umelianzisha hakuna kuuchuna
nitakufungia hapahapa JF pa kwenda huna!
 
JF home of great thinkers, we salute all you writers,
yo've kept on whether in summer, or winter,
big up for painting a perfect picture,
4 those who passed away we miss ya,
4 those alive we still representin here,
big up 4 courage to expose greedy politicians,
dont give up you civilians, dont one day become villains,

remember that Marley once said,
it takes a revolution to bring a solution,
never let a politician grant you a favor,
coz he'll always want to control you forever!
 
Nakuchana chana chana wazi wazi wewe mchina mgombea ubunge,
Unatafuta kura kwa nguvu kupitia mgongo wa wapwazi koma mfwate kingunge,
Ukiendelea kutufwata fwata nitamtuma chrispin na Radical waweke nyeti zako nge,
Nafikiri utang'atwa na kiherehere chako kitakwisha kabisa na atakutibu dr. Matunge.
Kama uko tayari kwenye yetu hii fani karibu nikupe za chembe nikate nahayo matende
 
Nakuchana chana chana wazi wazi wewe mchina mgombea ubunge,
Unatafuta kura kwa nguvu kupitia mgongo wa wapwazi koma mfwate kingunge,
Ukiendelea kutufwata fwata nitamtuma chrispin na Radical waweke nyeti zako nge,
Nafikiri utang'atwa na kiherehere chako kitakwisha kabisa na atakutibu dr. Matunge.
Kama uko tayari kwenye yetu hii fani karibu nikupe za chembe nikate nahayo matende

nguli kawa nguli, kawa Cena, kawa snoopy!
dont mess with this niggah, lil puppy
unasepa kivuli chako, u ain't happy?
this is free stlyle not politics
sikujua mtindo huru waz for the chicks
sikujua, sorry nikajimix
let me take my precious time, niggah
coz i ain't get no single dime, huh!
wape hi wapwaz!
kumbe huwez kaz
laini kama vaz
tchao, niggah!
 
nguli kawa nguli, kawa Cena, kawa snoopy!
dont mess with this niggah, lil puppy
unasepa kivuli chako, u ain't happy?
this is free stlyle not politics
sikujua mtindo huru waz for the chicks
sikujua, sorry nikajimix
let me take my precious time, niggah
coz i ain't get no single dime, huh!
wape hi wapwaz!
kumbe huwez kaz
laini kama vaz
tchao, niggah!

Daaaamn! your joints smell getto,
noooo! aint talking about ng'ang'alito, yule zake za kitoto,
keep representin, keep fightin em like apocalypto.
too many niggaz wame-save,
to these rhymes them niggaz are slaves!
 
Daaaamn! your joints smell getto,
noooo! aint talking about ng'ang'alito, yule zake za kitoto,
keep representin, keep fightin em like apocalypto.
too many niggaz wame-save,
to these rhymes them niggaz are slaves!

Tumegundua kuna vinjemba vinaiba yetu mistari
watu wamesepa ili nao wajifunze kuumiza kichwa kwenye daftari
kwa sisi tusiojali tunaendeleza kuchangamsha ubongo kwa kufikiri
Wapotezee jamaa endelea kushusa lines hadi wakiri wao kafiri
 
Nakuchana chana chana wazi wazi wewe mchina mgombea ubunge,
Unatafuta kura kwa nguvu kupitia mgongo wa wapwazi koma mfwate kingunge,
Ukiendelea kutufwata fwata nitamtuma chrispin na Radical waweke nyeti zako nge,
Nafikiri utang'atwa na kiherehere chako kitakwisha kabisa na atakutibu dr. Matunge.
Kama uko tayari kwenye yetu hii fani karibu nikupe za chembe nikate nahayo matende

Hahaha! Ahahaa nacheka huku nalia,
Aanze wapi kugusa patapomuumizia,
Ntamchana kwa chana na nguo atazivua,
Ntampiga kipondo nge hawezi gumia,
Bifu akilitaka Jeiefu atakimbia,
Watu tumeenea kwa kupiga na kuua,
Ubunge ataukosa maumivu yatamuia
Ahahaha nacheka hukua nachana,
Ahahaaa nacheka huku nakata,
Onyo namkatia asiguse hili jambia,
Litamchana chana achanwe huku alia,
Ntamchanachanachanachanaaaa!
Kazi tabaki moja kumchana na kumchana!
 
aaaaaaaaaaaaaah vijana nimeanza ku doubt proffesional's zenu
mnaghani kiasi namna hii loh
hata hivyo Big up kwenu
 
aaaaaaaaaaaaaah vijana nimeanza ku doubt proffesional's zenu
mnaghani kiasi namna hii loh
hata hivyo Big up kwenu

Ah, ah, ah, this is 4 my first lady, al always be yo daddy,
for rich, poor and the worst, i got much love 4 ya packed in my chest,
we came a long way, lets finish the rest, dont retreat,
together we will overcome every threat.
 
https://www.jamiiforums.com/members/mziwanda.html

naona kuchonga kunazidi
so japo kurudi jamvini imebidi
kwa kazi moja tu sina budi
kwa ishu ya kuwavika wapwa pedi
sipendi kuona mnavyoblidi
nataka tuliza hiyo spidi





kidume nang'aa kama mwezi
hata mkija kundi hamniwezi
nimerejea kutoa kozi
mwisho wa siku mtoe machozi
wassap wapwaaaaz!
 
who says goodbyes are not hard,
it's like some1 has turned his/her back,
it's a hard pill to swallow, but you've gotta take it slow,
coz life must go on,
on with the hope to see your soul mate soon,
tresure the moments you spent in the sunshine,
dont let the loneliness make you feel the pain,
this is dedicated to Masa and Mzenji.
 
Masa Mzenji analia anasema wapi MASA mwambie come here,
Kwa MASA nimenasa anadai MZENJ anasema wewe aminia,
Tunamtuliza na Radical ila anadia hatuna uweza wa kwako nia,
Mzee umempa nini MZENJ? oooH! anakulilia ka vile Tanzania.
Tunakuombea kwa Maulana ufike salama na usisahau kunicheki wrestlemania.
 
for radical:

as far as opportunities are concerned
dont try to waste them on the stand
do something for ur talent, understand?
be a composer not neccesarily an MC
get a lot of quid outa talent u c?
sell them lyrics to rap MC's
life is for the livers
n money is for the makers
so get down on the papers
scratch them with manners
nguli u discovered the guy, cheers!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom