JF Focus: Tathmini ya Utawala wa Rais Kikwete (2005-2012)

Nadhani hili swali linaweza kuendelea kujadiliwa side comments. Jibu lako limekaa kwenye tons zaidi wakati nilitaka ujibu kufatana na asilimia ya growth na kuilinganisha na asilimia tuliokusudia (target). Ni kama ndio bado tuko kati kati ya safari, na hiyo increment ya 1,1% haitoshi kwa kutoka 5,1% kufika 10% in 2015. Hata hivo tunaendelea na swali la kumi na nne
 
Swali la kumi na nne linatoka kwa ndugu mndwadage na Kibanga Ampiga mkoloni. Linahusu inflation:

kwa nini kwenye utawala wa Kikwete, mfumuko wa bei ya chakula umekua juu sana (kuna bidhaa muhimu kama sukari vimepanda kwa 600% katika miaka saba),na thamani ya shilingi kuzidi kushuka dhidi ya dola.?
Je kwanini pamoja na kujua kua maisha yamekua magumu zaidi Bunge la Tanzania chini ya RAISI KIkwete na SPIKA Makinda na Majority ya wabunge wa CCM wamekuwa wakipitisha miswada yenye kukandamiza wananchi, Wapinzani wanapojaribu kuhoji kuna kuwa na upinzani mkubwa kutoka kwa SPIKA. Mafano:-
Upandishaji wa Bei ya Mafuta taa huku tukijua kuwa Idadi ya Magari tanznaia hayafiki hata 1 Milioni na watanzania zaidi ya 45 Milioni wakitegemea mafuta taa

Karibu Ndugu zomba
 
Last edited by a moderator:
Swali la kumi na nne linatoka kwa ndugu mndwadage na Kibanga Ampiga mkoloni. Linahusu inflation:

kwa nini kwenye utawala wa Kikwete, mfumuko wa bei ya chakula umekua juu sana (kuna bidhaa muhimu kama sukari vimepanda kwa 600% katika miaka saba),na thamani ya shilingi kuzidi kushuka dhidi ya dola.?
Je kwanini pamoja na kujua kua maisha yamekua magumu zaidi Bunge la Tanzania chini ya RAISI KIkwete na SPIKA Makinda na Majority ya wabunge wa CCM wamekuwa wakipitisha miswada yenye kukandamiza wananchi, Wapinzani wanapojaribu kuhoji kuna kuwa na upinzani mkubwa kutoka kwa SPIKA. Mafano:-
Upandishaji wa Bei ya Mafuta taa huku tukijua kuwa Idadi ya Magari tanznaia hayafiki hata 1 Milioni na watanzania zaidi ya 45 Milioni wakitegemea mafuta taa

Karibu Ndugu zomba

For the period ended June 2011 inflation increased to 10.9 percent from 7.2 percent recorded in June 2010 due to a rise in fuel and food prices. The interest rate spread continued to widen despite the increased competition in the banking system. This was partly on account of increased lending risks. Tax revenue to GDP ratio increased to 14.6 percent compared to 13.6 percent recorded during 2009/10.

Source: Poverty Monitoring
 
For the period ended June 2011 inflation increased to 10.9 percent from 7.2 percent recorded in June 2010 due to a rise in fuel and food prices. The interest rate spread continued to widen despite the increased competition in the banking system. This was partly on account of increased lending risks. Tax revenue to GDP ratio increased to 14.6 percent compared to 13.6 percent recorded during 2009/10.

Source: Poverty Monitoring
So there has been an increase. The average Mwananchi feels this inflation not in terms of one or two percents but in erms of price on the food market. 300%, 500% increase in food price (Mchicha, sukari, mkate, mafuta ya taa). Why then the tax collection targets the poorest Tanzanian consumers? Why did the Bunge pass the government bill to increase tax on kerosene (mainly used by the poor households)? What are the measures taken by the government to stabilize our currency and lower the price of commodities, particularly those domestically produced?
 
Back
Top Bottom