Swali langu la tatu ni kwa Mkuu Zomba, ambae ana dakika 15 kulijibu:
Akihojiwa na gazeti la Washington Post hivi karibuni, Rais Kikwete alisema kuwa tatizo kubwa linalomkabili ni upungufu wa resources. Rais alisema kama akipata dola bilioni moja kwa mwezi kama mapato ya serikali, anataifanya Tanzania kuwa mbingu. Unakubaliana na Rais kuwa tatizo linalomkabili kama Rais ni lack of resources? Unadhani akipewa hizo bilioni moja kila mwezi anaweza kuifanya Tanzania kama mbingu?
Karibu Mkuu Zomba
According to Brewer's Dictionary of Phrase and Fable: 'The expression derives from terminology used by the United States Weather Bureau. Clouds are divided into classes, and each class into nine types. Cloud nine is cumulonimbus, a cumulus cloud of great vertical extent, topped with shapes of mountains or towers'. Other people derive it from the ninth circle of heaven in Dante's Divine Comedy (i.e. the nearest to God). The OED doesn't give a derivation, but notes that 'cloud seven' has also been used. It quotes from Flexner and Wentworth's Dictionary of American Slang (1960), which defines 'On cloud seven' as 'completely happy, perfectly satisfied, in a euphoric state'. |
Swali langu la tatu ni kwa Mkuu Zomba, ambae ana dakika 15 kulijibu:
Akihojiwa na gazeti la Washington Post hivi karibuni, Rais Kikwete alisema kuwa tatizo kubwa linalomkabili ni upungufu wa resources. Rais alisema kama akipata dola bilioni moja kwa mwezi kama mapato ya serikali, anataifanya Tanzania kuwa mbingu. Unakubaliana na Rais kuwa tatizo linalomkabili kama Rais ni lack of resources? Unadhani akipewa hizo bilioni moja kila mwezi anaweza kuifanya Tanzania kama mbingu?
Karibu Mkuu Zomba
Mkuu Zomba, samahani kama tutakua tumetafsiri vibaya maneno ya Rais Kikwete.
"If somebody says, 'What is your wish?' I'd say, 'If I got a billion dollars a month in terms of government revenue, I can turn Tanzania into heaven,'" Mr. Kikwete told The Washington Times in an exclusive interview.
Original context: Tanzanian plows fertile ground in pitch for aid - Washington Times
Mwali mimi nasubili swali la 5 kuna wanaotaka kufuturu jioni hii, jukumu la kuuliza maswali naawchia Members kwa leo kwa sababu hii thread itakuwa sticky kwa siku kadhaa basi hapo ndio utakuwa uwanja mpana zaidi.Kwa vile Matola hakuuliza swali lolote la ufafanuzi, nitauliza swali moja: Mkuu Zomba, kuna members walio pendekeza kua hata Rais Kikwete akipewa hizo dollars Billioni moja kwa mwezi hakutakua na mabadiliko sababu tatizo la Tanzania sio kukosa resources bali ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Unasemaje kuhusiana na hilo? Naomba uwasilishe majibu ya ufafanuzi ndani ya dakika tano. Baada ya hapo utamuliza Matola swali la ufafanuzi wa jibu lake la tatu, kama unalo. Asante.
Kwa vile Matola hakuuliza swali lolote la ufafanuzi, nitauliza swali moja:
Mkuu Zomba, kuna members walio pendekeza kua hata Rais Kikwete akipewa hizo dollars Billioni moja kwa mwezi hakutakua na mabadiliko sababu tatizo la Tanzania sio kukosa resources bali ni matumizi mabaya ya fedha za umma. Unasemaje kuhusiana na hilo?
Naomba uwasilishe majibu ya ufafanuzi ndani ya dakika tano. Baada ya hapo utamuliza Matola swali la ufafanuzi wa jibu lake la tatu, kama unalo. Asante.
Maoni yangu naona tatizo kubwa Serikali inayotawala haijielewi na wala haitambui wajibu wake kwa Umma wa Watanzania, na hata kama ikitokea kuna wakati ikajitambuwa inakuwa ngumu kutekeleza hata yale wanayoahidi wenyewe kwa hiyari yao.Tunaendelea na swali la nne:
Hivi karibuni kumekuwa na migomo ya madaktari ambayo imeathiri kwa kiasi kikubwa sekta ya afya. Katika kujaribu kutatua huu mgogoro Rais Kikwete alikutana na viongozi wa madaktari Ikulu. Hata hivyo, kumekuwa na tena mgomo wa madaktari. Nini maoni yako kuhusiana na jinsi Rais Kikwete na utawala wake alivyo/anavyolishughulia suala zima la mgogoro wa madaktari?
Namkaribisha mkuu Matola ambae ana dakika kumi na tano kuandaa na kupost jibu lake kwa swali hili. Karibu mkuu.
Kufatana na pendekezo hili, na kwavile hakuna swali lolote la ufafanuzi uliulizwa toka kwa waalikwa, naona kuanzia hapa tutaendelea kuuliza swali bila kuwepo nafasi ya ufafanuzi. Ufafanuzi huo utatolewa mwisho wa mjadala. Kuhusiana na wanao taka kufturu, tayari nimesha toa taarifa hapo juu. Asante.Mwali mimi nasubili swali la 5 kuna wanaotaka kufuturu jioni hii, jukumu la kuuliza maswali naawchia Members kwa leo kwa sababu hii thread itakuwa sticky kwa siku kadhaa basi hapo ndio utakuwa uwanja mpana zaidi.
Tunaendelea na swali la nne:
Hivi karibuni kumekuwa na migomo ya madaktari ambayo imeathiri kwa kiasi kikubwa sekta ya afya. Katika kujaribu kutatua huu mgogoro Rais Kikwete alikutana na viongozi wa madaktari Ikulu. Hata hivyo, kumekuwa na tena mgomo wa madaktari. Nini maoni yako kuhusiana na jinsi Rais Kikwete na utawala wake alivyo/anavyolishughulia suala zima la mgogoro wa madaktari?
Namkaribisha mkuu Matola ambae ana dakika kumi na tano kuandaa na kupost jibu lake kwa swali hili. Karibu mkuu.
Nawashukuru waalikwa wote kwa majibu yao. na sasa tunaendelea na swali la tano linalo husiana na mapambano dhidi ya ufisadi nchini kwetu:
Mnamo mwaka 2009, akijibu swali la Jacob Mkama wa Ukerewe kwamba serikali yake haijafanya juhudi katika kukabiliana na mafisadi, Rais Kikwete alisema kuwa katika dunia, Tanzania inaweza kuingia kwenye rekodi ya kuthubutu kwa kuweza kuwafikisha mahakamani zaidi ya vigogo 27 wa serikali. Rais Kikwete alisema, "Tumejenga mazingira ya kuwataja wala rushwa, hivi sasa kuna kesi 578 toka kesi 50 zilizokuwepo mwaka 2005, taarifa nyingi zaidi zinapatikana. Wengine wanasema tunashughulika na dagaa tu, mbona papa hakuna? Tumefanya kesi za EPA, BoT, watendaji wakuu wa serikali 27 wako mahakamani na naweza kusema Tanzania tunaweza kuingia kwenye rekodi duniani ya kuthubutu." Nini maoni yako kuhusiana majibu ya Rais? Unakubali kwamba Rais Kikwete na serikali yake wanakabiliana na tatizo la ufisadi ipaswavyo? Toa sababu.
Karibu mkuu Zomba, una dakika kumi na tano kujibu swali hili. Asante.
Serikali ya CCM na hasa hapa tunaongelea utawala wa JK, ni kwamba umefeli kabisa katika swala la Rushwa na Ufisadi, na mfano hai ni Mkurugenzi mwenyewe wa taasisi ya kupamba Rushwa Edward Hosea alinukuliwa na Wikiliks kwamba anakwamishwa na Rais Kikwete kuwashughulikia wala Rushwa wakubwa.Nawashukuru waalikwa wote kwa majibu yao. na sasa tunaendelea na swali la tano linalo husiana na mapambano dhidi ya ufisadi nchini kwetu:
Mnamo mwaka 2009, akijibu swali la Jacob Mkama wa Ukerewe kwamba serikali yake haijafanya juhudi katika kukabiliana na mafisadi, Rais Kikwete alisema kuwa katika dunia, Tanzania inaweza kuingia kwenye rekodi ya kuthubutu kwa kuweza kuwafikisha mahakamani zaidi ya vigogo 27 wa serikali. Rais Kikwete alisema, "Tumejenga mazingira ya kuwataja wala rushwa, hivi sasa kuna kesi 578 toka kesi 50 zilizokuwepo mwaka 2005, taarifa nyingi zaidi zinapatikana. Wengine wanasema tunashughulika na dagaa tu, mbona papa hakuna? Tumefanya kesi za EPA, BoT, watendaji wakuu wa serikali 27 wako mahakamani na naweza kusema Tanzania tunaweza kuingia kwenye rekodi duniani ya kuthubutu." Nini maoni yako kuhusiana majibu ya Rais? Unakubali kwamba Rais Kikwete na serikali yake wanakabiliana na tatizo la ufisadi ipaswavyo? Toa sababu.
Karibu mkuu Zomba, una dakika kumi na tano kujibu swali hili. Asante.