JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

zamani manyerere jackson nikijua ni very bright kumbe..
mwandishi mzima anadonoa sehemu za sentensi na kuweka hapa ili kutaka kuprove kitu ambacho hakipo,kha...!!

Soma maagizo ya Rais Profesa Kikwete ndipo utabaini kuwa shughuli yote imeishia hapo kwake, maana aliamuru malipo yafanywe. Haya ni maneno ya BoT yakinukuu barua ya Katibu wa Rais aliyeagizwa na Profesa Kikwete aandike hivyo. Sasa unahoji u-bright wangu wakati hapo ndiko kwenye focal point! Summary ya Profesa KIkwete imemaliza kila kitu. Hawezi kusingizwa kuwa alishauriwa vibaya! Ebu sema, anayeshauri vibaya na anatetekeleza ushauri mbaya nani anastahili lawama hapo! Huhitaji kuwa msomi mwenye PhD kupata jibu la swali hili!
 

hahaha baba simba trust kijasho chembamba kinamtoka yaani ana rely kwenye ushauri wa
"judicial thug werema"
 
Ziwekwe hizo detail zote tuone kwanza hivyo vipande vya kuunga unga vimejaa kila mtu anavyo still bado kama ni ufisadi hauelekei kwamba pesa zote hizo zaidi ya bilioni 300 zilitafunwa na watu wachache na mbaya zaidi waliotajwa ukijumlisha pesa izo wanazoambiwa walilamba kwa waliotajwa kabisa hadi sasa hazifiki hata nusu sasa je mbona izo details kamili za ushahidi haziwekwi na bado wadau wanazidai???
 
Bibi Kiroboto karudi usitegemee lolote, hakuna atakayejiuzulu hapo, mshapigwa change la macho. Mzee Pinda usipate presha tena mambo yatakwenda tu ondoa hofu
 
Hata huyo mwenyekiti wa Kamati Ndugu MWEPESI kashavuta mounga wa maana hapo ili asiwasulubu wazee wapigaji. Kwao Watanzania tusijiwekee matarajio makuuubwa. Tuwe tayari kupokea matokeo yoyote yale
 
Hao mechmar walikuwa wapi hadi mtambo ukachukuliwa na paperlink ama PAP?.ndo kusema hawakua hata na watchman wa kuangalia mtambo wao?.
sisi tunachotaka kujua pesa za escrow ni za iptl ama za umma na kama ni za umma zimefikaje escrow kwani kama kulikua na matatizo ya overcharging kwanini tanesco wakaendelea kulundika pesa escrow.
pia kingine inasemwa pesa zote za escrow bila kuacha hata senti ni za umma,sasa hapa zile za halali kuilipa iptl ziliwekwa katika mfuko upi?na je zililipwa lini?

Yaani hujui hata gari za Tanesco ni SU??!!!
 
Ukifuatilia kwa makini haya madudu utashangaa nani ni mmiliki TANESCO. Hii taasisi imekuwa kama mbuzi wa jalalani. Yaani serikali inajiweka nayo mbali kabisa kama haiihusu!!!
 
Kuna ushahidi gani kuwa Mohamed Mbaruk ni rafiki wa karibu wa Prof Muhongo????? Nawaza tu!!
 
Kitu ninachohofia mimi ni tabia tuliyonao sisi raia. Ashakum si matusi ni kuwa tuna nguvu ya soda. Sasa hivi kelele nyingi, lakini baada ya muda ishu itapoa watu wataangalia jingine.
Kuna skendo ngapi tayari ambazo sisi raia tunazijua, na zimeishia wapi? Walaji si wameshazitumbua na sasa hivi wanapeta? Na hii nayo ninahisi itakuwa yaleyale tu, upepo wa kaskazi utatulia watu wataendelea na maisha yao ya ulafi kama kawaida. Inauma lakini ndio uhalisia uliopo.
 
zile pesa za escrow nyingi zimebakizwa somewhere. sasa ni wakati wa kutugawia na sisi ili tusiseme hili jambo. members wote wa jamii forum ambao ni great thinkers (ukiwaacha akina faizafoxy hawa ni wachumia tumbo) sisi tupewe ama sivyo hakieleweki na tutasimamia mpaka kucha ili watu wawajibike akiwemo mkuu maana yeye huwa anawatoa tu wenzake sadaka/kafara halaf ana kaa pembeni akicheka. sasa hakieleweki mpaka watu watolewe matumbo. na hili wana JF tusinyamaze iwe usiku au mchana.
 
ya invisible unajifanya mwooooga haya watu washaweka wa 57
 
ya invisible unajifanya mwooooga haya watu washaweka wa 57

Hahahahah mi nilisema jamaa hana na kikammandi sana! Cheki watu tulivyosokomeza kigegedeo kwenye papuchi! Tunajiandaa kupakua namba 58 ndo mtaona maajabu
 
Back
Top Bottom