lynxeffect22
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 626
- 250
Kama ripoti ndo hii, basi hakuna kitu
inaonekana hivyo .... ila hapo kwenye page 57 - 59 kuna nini? .... na je hii ndio original aliyofanyia kazi Otuoh?
Kama ripoti ndo hii, basi hakuna kitu
te!
Wakuu,
Dodoma kumekucha. Naomba kwa ufupi niwafahamishe kinachojiri maeneo haya (nimepiga kambi huku).
MOSI:
Waziri Mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond, Edward Lowassa anataka PM Pinda atoke kwa sababu mbili, moja ili njia ya kupata Urais iwe nyeupe lakini pili ili asiwe PM peke yake aliyewahi kujiuzulu kwa tuhuma za rushwa. Watu wake Edward wanahangaika sana kushawishi watu ili azma hii itimie.
PILI:
Membe naye anataka PM ang'oke kwa sababu kuu mbili, moja ili njia ya Urais iwe rahisi lakini pia kwa matumaini kwamba anaweza kupata yeye uPM japo kwa muda tu ili nyota ing'are zaidi.
TATU:
Wassira naye anatakaPinda aanguke ili njia iwe rahisi lakini pia kwa matumaini kwamba anaweza kupata yeye uPM.
Mwandosya naye anataka PM adondoke kwa matumaini ya kupata uPM kutokana na utu uzima.
Sitta naye vivyo hivyo.
NNE:
Mawaziri walioondolewa huko nyuma wakiongozwa na Kagasheki, Nchimbi na Maige nao wanaomba Serikali idondoke kwa sababu wanaamini Pinda aliwatosa ili apone yeye na sasa wanataka na yeye awajibike kwa udhaifu wake. Yupo mtu kama Mwigulu ambaye anautaka Uwaziri kamili kwa udi na uvumba na anataka Serikali ianguke ili Baraza la Mawaziri lisukwe upya awe Waziri kamili.
Kama ripoti ndo hii, basi hakuna kitu
No CCM wanataka watawale milele kwa vile wamegundua kuwa Watanzania ni mazuzu ............................!!! Hili ni Upepo tu, utapita....................!!
Kama ripoti ndo hii, basi hakuna kitu
Wacha ujuha.
inaonekana hivyo .... ila hapo kwenye page 57 - 59 kuna nini? .... na je hii ndio original aliyofanyia kazi Otuoh?
Huu sio ujuha, ni wendawazimu.....
FaizaFoxy....leave this ----. Napenda leo uongelee hii issue, naona mpaka sasa hujaongelea. wewe ni supporter mkubwa wa JK na CCM, Can you say something on this???
Matendo yao yanastahili huruma na upendo wako kwao? uteteaji wako kwao unastahiki au wanakusaliti?
Ooh,nchi itatingishika,..itingishike wapi wewe?.
Hamna report kujadiliwa
serikali chafu cjawai ona kwanin wezi tunawajua alafu tunawalea?!?!