JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

JF Exclusive: CAG Report on IPTL/Tegeta Escrow Account

Wakati kukiwa na taarifa zilizochapishwa kwenye vyombo vya habari kuwa akaunti ya escrow iliyofunguliwa benki kuu ( BOT ), kwa mujibu wa makubaliano yaliyofanyika julai 5, 2006, zilikuwa sh bilioni 306.6, kabla kutolewa kwa fedha hizo mwaka 2013, taarifa ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali ( CAG ), imethibitisha sio kweli.

Kwa mujibu wa taarifa hiyo ya CAG , ambayo Rais Kikwete ameagiza iwekwe hadharani, ili Watanzania waisome na kuielewa, katika ukurasa wa 40 mpaka 42 imebainika kuwa kiasi cha fedha kilichokuwa katika akaunti hiyo, kilikuwa Sh bilioni 182.7. Ambapo TANESCO iliweka kiasi cha sh bilioni 142 na wizara iliweka sh bilioni 40.7, taarifa hiyo ilieleza.

Ripoti hiyo imebainisha kuwa, kama akaunti hiyo ingekuwa na sh bilioni 306.6 basi TANESCO wangepaswa kuweka kiasi cha sh bilioni 123.9 zaidi ya fedha zilizowekwa katika akaunti hiyo.

Kutokana na hali hiyo, mpaka sasa IPTL inaidai TANESCO sh bilioni 123, ambazo ni nyingi kuliko kodi ambayo TRA inaidai IPTL, ya sh bilioni 26.9.
Hizi ngonjera hazilisaidii Taifa.Mkuu hiyo taarifa CAG unayoisema ndo ile ile iliyokabidhiwa kwa Naibu Spika then PAC na Wabunge au hii ni nyingine.
 

Attachments

  • 1418555567629.jpg
    1418555567629.jpg
    50.8 KB · Views: 270
​
Hii ni kutokana na report ya CAG katika ESCROW account
1.png
2.png
3.png
  1. Ushauri huu ni sahihi kisheria?
  2. Na je Capaity charge/Demand charge hukokotolewa kutokana na gharama za uwekezaji (Mitambo ya Megawat 100 kwa IPTL) au mtaji wa wanahisa unaoonekana kwa msajili wa makampuni?
  3. Kama ushauri haukuwa sahihi, ni nini lilikuwa lengo la Mkono kupitia kampuni yake ya uwakili kutoa ushauri wa namna ambao ulipelekea Tanesco kuanzisha madai kwa IPTL


Wajuzi wa sheria mnisaidie
 
​
Hii ni kutokana na report ya CAG katika ESCROW account
View attachment 212456
View attachment 212457
View attachment 212458
  1. Ushauri huu ni sahihi kisheria?
  2. Na je Capaity charge/Demand charge hukokotolewa kutokana na gharama za uwekezaji (Mitambo ya Megawat 100 kwa IPTL) au mtaji wa wanahisa unaoonekana kwa msajili wa makampuni?
  3. Kama ushauri haukuwa sahihi, ni nini lilikuwa lengo la Mkono kupitia kampuni yake ya uwakili kutoa ushauri wa namna ambao ulipelekea Tanesco kuanzisha madai kwa IPTL


Wajuzi wa sheria mnisaidie


Kwa UELEWA WAKO HIYO ELFU HAMSINI INATOSHA KUNUNUA HATA WAYA?ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA YA KWAKO!!
 
Kwa UELEWA WAKO HIYO ELFU HAMSINI INATOSHA KUNUNUA HATA WAYA?ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA YA KWAKO!!
Mkuu huo ndio ushauri wa Mkono sio mimi, soma vipande hivyo vya taarifa ya CAG nilivyoweka
 
nkono.is an idi.ot,eti elfu hamsin,yale mamitambo mi elfu hamsini kweli
 
Nimesoma Ripoti ya CAG kuhusu Tegeta-Escrow na kuna mahala ame-quote Sheria ya Makampuni CAP 212 (R.E. 2002).

Naomba mwenye softcopy ys Sheria hiyo atupatie tunaoweza tuipitie hasa kifungu 79(1) ambacho CAG kwenye ipoti yake amekinukuu anapofafanua kuhusu mzozo wa TANESCO na Standard Chartered Bank ya Hong Kong.

Natanguliza shukani.
 
Kaka kwa heshima ni PM soft copy kama unayo ya report ya CAG please I berg
 
Ni muda sasa umepita toka sakata la uchotwaji wa pesa za Escrow ulipobainishwa na mbunge aliye maliza muda wake Bw. Kafulila, tukashuhudia malumbano ndani ya Bunge ambayo yalitishia uhai wa uwaziri wa Mh. Pinda na mengi yakasemwa. Kuelekea uchaguzi mkuu tungependa kupata ukweli wa Escrow na watu waliochukua pesa kupitia Stanbic Bank. Nawasilisha
 
Ni muda sasa umepita toka sakata la uchotwaji wa pesa za Escrow ulipobainishwa na mbunge aliye maliza muda wake Bw. Kafulila, tukashuhudia malumbano ndani ya Bunge ambayo yalitishia uhai wa uwaziri wa Mh. Pinda na mengi yakasemwa. Kuelekea uchaguzi mkuu tungependa kupata ukweli wa Escrow na watu waliochukua pesa kupitia Stanbic Bank. Nawasilisha

ningesema vuta subira,lakini kwa Magufuli huo ufunguo huwezi. Kwa edo sina uhakika labda atapenda kuji safisha kwa kuwapeleka mahakamani ma richmont et al escrow ambayo yeye anadai hahusiki na agalao ya ishomile hajagawiwa ambayo inampa nafasi nzuri ya kujitoa.

lakini hawa na mafisadi wawili, sasa yupi ni nafuu?
 
Ni muda sasa umepita toka sakata la uchotwaji wa pesa za Escrow ulipobainishwa na mbunge aliye maliza muda wake Bw. Kafulila, tukashuhudia malumbano ndani ya Bunge ambayo yalitishia uhai wa uwaziri wa Mh. Pinda na mengi yakasemwa. Kuelekea uchaguzi mkuu tungependa kupata ukweli wa Escrow na watu waliochukua pesa kupitia Stanbic Bank. Nawasilisha

Sina Shaka kwa jinsi hali ilivyo kuwa ukweli hautawekwa wazi ni suala la wakati tu!
 
kwani hujui wahusika? JK. na membe ndiyo wahusika wakuu na ile account ya stan bic majina yao yamo.
 
Tunajadili watoke wanatoa ripoti moja wakati kuna madudu mengi tuu yapo,meno ya tembo,madini,magogo,gesi na mengine mengi..sio muda wa ripoti huu..ngoja tuwatoe kwa kura tutajua kila kitu.
 
Back
Top Bottom