juve2012
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 3,343
- 2,040
Kuna pipeline huko watu wamepiga dola bilioni moja wamegawana, habari ikija kubumbuluka wabongo watazimia.Hizi habari za escrow zitaonekana kama pesa ya kumpa mtoto anunue njugu.
Pia watu wanachimba mafuta off of Mtwara mwaka wa pili huu, sie tunaambiwa wanafanya "exploration".
Hiyo ya kuchimba mafuta nilishaipata siku nyingi,tukaongeaongea humu na akina Pasco lakini wapi,exploration ya deep sea Tanzania itawezea wapi kufuatilia?!
Ila Kiranga utakuwa umekosea,ni dola Bilioni au?!
Umeconvert hii value into tsh mkuu?nasikia jasho jembamba!
Last edited by a moderator: