si ulijua ni mchUmba wa mtu? Hapo ulijitakia.hapa tunazungumzia mahusiano yale mkaka umemkuta mdada katulia unamfukuzia anakukubali na kuweka moyo wako kwako,then unasepa bila sababunaona kwenye hii thread akina dada wanalalamika zaidi,kama wao ndiyo watendwaji wakuu! Mi nilifuatwa na mchumba wa mtu,akaniapproach. Ki-shingo upande nikakubali.. Baadaye nikakolea kwenye love. Kumbe mchumba alikuwa europe kwa kama 6 months hivi. Mimi nikala raha naye kwa 2 months tu za mwisho.. Hakuniacha ghafla. Ni baada ya kumwona yuko busy,nikimpigia anasema tulia ntakutafuta. Siku moja jioni,[ilikuwa marufuku kupiga jioni] nikiwa na mawazo mengi,labda,nikampigia akakata. Kisha nikatuma ujumbe mfupi wa simu kuwa nitamweleza mchumba wake yote hayo yaliyotokea akiwa nje ya nchi.. Nilipigiwa simu ya dharau,kejeli, si matusi, bali moyo uliniuma,na nikajua ndiyo mwisho wa mahusiano! Na kweli uhusiano ulikufa,ila bado namlaumu hadi leo!
Naona kwenye hii thread akina dada wanalalamika zaidi,kama wao ndiyo watendwaji wakuu! Mi nilifuatwa na mchumba wa mtu,akaniapproach. Ki-shingo upande nikakubali.. Baadaye nikakolea kwenye love. Kumbe mchumba alikuwa Europe kwa kama 6 months hivi. Mimi nikala raha naye kwa 2 months tu za mwisho.. Hakuniacha ghafla. Ni baada ya kumwona yuko busy,nikimpigia anasema tulia ntakutafuta. Siku moja jioni,[ilikuwa marufuku kupiga jioni] nikiwa na mawazo mengi,labda,nikampigia akakata. Kisha nikatuma ujumbe mfupi wa simu kuwa nitamweleza mchumba wake yote hayo yaliyotokea akiwa nje ya nchi.. Nilipigiwa simu ya dharau,kejeli, si matusi, bali moyo uliniuma,na nikajua ndiyo mwisho wa mahusiano! Na kweli uhusiano ulikufa,ila bado namlaumu hadi leo!
unakuta mdada yupo na mwanaume anamlisha,anamvalisha kila kitu anategemea waje kuwa pamoja,irresponsibility man for what? wake up ladies
upo sahihi kabisa.... kama unataka umpate mtu yupo kama unavyotaka utakuwa frustrated na hutopata n u wl realize it whn its too late.ujue watu tu huwa tunakosea mwanzoni unaona mapungufu ya mtu na makero yake unasema haina shida atachange.mimi hata kama tumekubaliana kuanza mahusiano leo yaani ukunikera hata kesho haifiki:flypig:
:flypig:
acha tu shosti? Mimi sasa hv hata maji ya kunywa sinunui loh mjini hapami siamini juu ya kuhudumia kwa hope yakuwa atakuwa life partner..hata mwanaume pia,huwezi kujitia godfather wa mtu unahudumia kuanzia tution fee mpaka pocket money...wengi sana wamelia kwa hii kitu. Likewise kwa wadada...ila kupenda shosti wangu....wanakwambia love is blind kumbe wao ndio blind sasa..
overanalysis lead to paralysiswewe itakula kwako? kwanini uchukue kitu sio size yako na sokoni bidhaa ni nyingi na mabrand tofauti ya kumwaga?
acha tu shosti? Mimi sasa hv hata maji ya kunywa sinunui loh mjini hapa
loh namwambia ujue nilivokuja hapa na wewe nilitoroka hme sijachukua chochote kwnye hii pochihahhahaa....anakwambia " honey nimesahau wallet nyumbani bahati mbaya...hebu nisaidie ku-clear hapa kidogo"
ahahaaaa baba enock banahapa mada sijui ni ipi? Hakyanani!!! Kha!!!
loh namwambia ujue nilivokuja hapa na wewe nilitoroka hme sijachukua chochote kwnye hii pochi
usipoishi kwa ujanja na hawa wanaume utaumia.seriously kuna mkaka alikuwa ananifukuzia siku hiyo nikamwambia njoo sehemu flani ana usafiri tu fresh akasema huko ni mbali mafuta mengi kwanza hapo tu nikamsoma loh yaani nimempa hata fever ya kuonana then analeta ubahili wa mafuta nikajua tu huyu hanipendi.nikampotezea kuna siku akanitumia ujumbe eti ooh naomba laki moja nitakurudishia.yaani nilikosa jibu la kumpa.wanaume wa dot com usipimenimekifuta bahati mbaya nikijua nilibonyeza enter hicho kipande....
Hahahhahahha...ukimwambia hivyo unakuwa umemnyooosha sio kidogo...
hapa wadada wako kwa msusi wanapea mistori na miuzoefu
usipoishi kwa ujanja na hawa wanaume utaumia.seriously kuna mkaka alikuwa ananifukuzia siku hiyo nikamwambia njoo sehemu flani ana usafiri tu fresh akasema huko ni mbali mafuta mengi kwanza hapo tu nikamsoma loh yaani nimempa hata fever ya kuonana then analeta ubahili wa mafuta nikajua tu huyu hanipendi.nikampotezea kuna siku akanitumia ujumbe eti ooh naomba laki moja nitakurudishia.yaani nilikosa jibu la kumpa.wanaume wa dot com usipime
ok always upo right but inategemea unanunua kiatu kwa lengo gani, kama ni kuvaa... first priority itakuwa ni size but kama ni cha kumechisha basi utaangalia rangi... sasa ugumu unakuja kukipata cha size unayotaka chenye rangi unayotaka... kwa busara ya kawaida utaangalia size then rangi ukikosa utaaangalia rangi ambayo inaendanaendana rangi ya gauni lako...Ukikinunua kinakuwa chako ndio...lakini kama ulikinunua kwa kuwa ni kizuri tu,au kina-match na nguo flan ilhali kiukweli hakikutoshi..hutodumu nacho...hakitazeekea miguuni mwako. Aidha kitazeekea jalalani,au Kwenye mguu wa mtu mwingine ukikigawa...au ndo kitakuwa kila siku mali ya fundi viatu,mwisho utakiacha huko huko akiuze tu.
usipoishi kwa ujanja na hawa wanaume utaumia.seriously kuna mkaka alikuwa ananifukuzia siku hiyo nikamwambia njoo sehemu flani ana usafiri tu fresh akasema huko ni mbali mafuta mengi kwanza hapo tu nikamsoma loh yaani nimempa hata fever ya kuonana then analeta ubahili wa mafuta nikajua tu huyu hanipendi.nikampotezea kuna siku akanitumia ujumbe eti ooh naomba laki moja nitakurudishia.yaani nilikosa jibu la kumpa.wanaume wa dot com usipime
Hiyo ya blue hapo...nimeipenda! Halafu ukichunguza sana hujamzoea kivile kiasi cha kuaminia kwenye suala la pesa.
Huyo nadhani alikuwa anakujaribu tu..hahahha...hakuwa serious sana..