Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,626
yaani hata kutongoza hajuihiyo ya blue hapo...nimeipenda! Halafu ukichunguza sana hujamzoea kivile kiasi cha kuaminia kwenye suala la pesa.
Huyo nadhani alikuwa anakujaribu tu..hahahha...hakuwa serious sana..