Jf Chit chat! Special Thread: Chrismass & New Year 2014 Wishers!!

Jf Chit chat! Special Thread: Chrismass & New Year 2014 Wishers!!

Salamu za upendeleo kwa yule inaesumbua moyo yangu Slave shostito wa ukwee Madame B, Passion Lady, Lady doctor best angu charminglady, mama ya mizombie Kongosho, msimuliaji wa ukwee lara 1, wazee waliozeeka na maini yao Baba V na Asprin, Mentor nimekumiss sana, Mr Rocky kama hautajali naomba christmass nikutoe out..... Simplicity boxing day ntakuhitaji pembeni yangu, babu Dark City sijakusahau.

nawatakieni heri ya christmass :busu

Asante sana my dear, afu ujue nina appointment na wewe, hebu ntafute pia ntakupa na umbea wa mtasha...... hahahaaaa!!!!!!!
 
ahsantee!
halafu si umesema waja huku!

huko ndo home my dear, ntake nisitake lazima nitie maguu.. Ngoja nimalize kula bata huku kwa wandali then niangalie ustaarabu wa kuja huko walau nikamsabahi babu.
Mpe hi jirani yako Ladymasa
 
Last edited by a moderator:
Salamu za upendeleo kwa yule inaesumbua moyo yangu Slave shostito wa ukwee Madame B, Passion Lady, Lady doctor best angu charminglady, mama ya mizombie Kongosho, msimuliaji wa ukwee lara 1, wazee waliozeeka na maini yao Baba V na Asprin, Mentor nimekumiss sana, Mr Rocky kama hautajali naomba christmass nikutoe out..... Simplicity boxing day ntakuhitaji pembeni yangu, babu Dark City sijakusahau.

nawatakieni heri ya christmass :busu

Asante sana mpenzi, mpe hi mumeo Slave
 
Last edited by a moderator:
Salaam hizi ziwafikie wafuatao:-

Kwanza kwa familia yangu pendwa ya Daddy watu8 na Mummy measkron, Dada zandu wote sweetlady, WiseLady, Lady doctor, Passion Lady, ladyfurahia, Kaka yetu wa pekee Davie S.M.

Pili kwa Rock City Wing, Mwenyekiti Rock City, Home First, ram, Think pad, Elizabeth Dominic, Evelyn Salt, Mzee Gedeli na invisible member wote walioko Mwanza.

Tatu kwa Arusha Wing nikianza na Mwenyekiti PakaJimmy, Mlezi wa Rock Wing Arushaone, Erickb52, Mungi, Preta, Mzee wa Rula, marejesho, Filipo, Mr Rocky, Mkirua, black womani, Lily Flower, Tonypk na Invisible members wote mliopo Arusha.

Nne kwa Dar Wing ikiongozwa na Mzee Mtambuzi, Babu Asprin, Dada zangu wakubwa heshima kwenu gfsonwin, AshaDii, cacico, snowhite, Paloma, Chocs, Heaven on Earth, amu, Madame B, Mentor, Zion Daughter, sosoliso, Husninyo, Vin Diesel, TANMO, Simplicity, stevoh, BAK, Mwita Maranya Jiwe Linaloishi, My Lawyer Ruttashobolwa na Invisible member wote mliopo Dar Wing....

Tano kwa Tanga Wing.. Kunani paleee eeeh! Naanza na Babu yangu Dark City, YNNAH, Mwanyasi, KOKUTONA, Ennie na Invisible members wote mliopo TA...

Sita kwa unknown location..... Nikianzia kwa kaka mkubwa Kaizer, Joe Nyandigira, KakaJambazi, Nicas Mtei, SnowBall, Slave na wengineo

Mwisho kabisa napenda kuwatumia salamu za sikukuu viongozi wote wa JF nikianza na Founder @maxence mello Mungu awe nawe, Mike McKee, Fang, Paw, Invisible, Buchanan, Moderator na wengineo....

images

Asante sana lovely sis..
 
Last edited by a moderator:
asante sana kaka binamu, nami nakutakia heri ya Xmas na Mwaka mpya uwe na afya nzuri na uepushwe na baya lolote lile na mipango yako iwe kama ulivyo tarajia katika kipindi hiki na kipindi kijacho cha mwaka 2014.


Asante sana Lady doctor ubarikiwe sana na ukawe na msimu mwema na mwanzo wa mwaka wenye mafanikio

Ameeeeen!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
thank u sana umepotea mno happy holiday hujajifungua tu

nipo my dear nimebanwa kimtindo ila naingia kiubishiubishi tu...... ndio kwanza nipo kwenye 2nd trimester mwenzio yaani hadi nimechoka kusubiri
 
Ahsante sana shemeji langu wa ukweli Lady doctor.. Na mie ninakutakia kila la kheri kwa sikukuu hii ya noeli na mwaka mpya.. Ninafurahi sana kwamba wewe na Arushaone mmekuwa ni sehemu ya maisha yangu hapa JF.. Mbarikiwe..

ubarikiwe pia shem langu, pamoja daima!
 
Last edited by a moderator:
Salaam hizi ziwafikie wafuatao:-

Kwanza kwa familia yangu pendwa ya Daddy watu8 na Mummy measkron, Dada zandu wote sweetlady, WiseLady, Lady doctor, Passion Lady, ladyfurahia, Kaka yetu wa pekee Davie S.M.

Pili kwa Rock City Wing, Mwenyekiti Rock City, Home First, ram, Think pad, Elizabeth Dominic, Evelyn Salt, Mzee Gedeli na invisible member wote walioko Mwanza.

Tatu kwa Arusha Wing nikianza na Mwenyekiti PakaJimmy, Mlezi wa Rock Wing Arushaone, Erickb52, Mungi, Preta, Mzee wa Rula, marejesho, Filipo, Mr Rocky, Mkirua, black womani, Lily Flower, Tonypk na Invisible members wote mliopo Arusha.

Nne kwa Dar Wing ikiongozwa na Mzee Mtambuzi, Babu Asprin, Dada zangu wakubwa heshima kwenu gfsonwin, AshaDii, cacico, snowhite, Paloma, Chocs, Heaven on Earth, amu, Madame B, Mentor, Zion Daughter, sosoliso, Husninyo, Vin Diesel, TANMO, Simplicity, stevoh, BAK, Mwita Maranya Jiwe Linaloishi, My Lawyer Ruttashobolwa na Invisible member wote mliopo Dar Wing....

Tano kwa Tanga Wing.. Kunani paleee eeeh! Naanza na Babu yangu Dark City, YNNAH, Mwanyasi, KOKUTONA, Ennie na Invisible members wote mliopo TA...

Sita kwa unknown location..... Nikianzia kwa kaka mkubwa Kaizer, Joe Nyandigira, KakaJambazi, Nicas Mtei, SnowBall, Slave na wengineo

Mwisho kabisa napenda kuwatumia salamu za sikukuu viongozi wote wa JF nikianza na Founder @maxence mello Mungu awe nawe, Mike McKee, Fang, Paw, Invisible, Buchanan, Moderator na wengineo....

images

Senki yuu vere mache mai Dia Byutiful Onyenye charminglady..
Kila la kheri na kwako pia kwenye huu msimu wa Sikukuu..
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom