CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Thanks charminglady cheki fb yko mi ni frind wko, pia mi ni follower wako kwe twira.
Yesu wangu, mimi siko huko mkuu!
Thanks charminglady cheki fb yko mi ni frind wko, pia mi ni follower wako kwe twira.
Salamu za upendeleo kwa yule inaesumbua moyo yangu Slave shostito wa ukwee Madame B, Passion Lady, Lady doctor best angu charminglady, mama ya mizombie Kongosho, msimuliaji wa ukwee lara 1, wazee waliozeeka na maini yao Baba V na Asprin, Mentor nimekumiss sana, Mr Rocky kama hautajali naomba christmass nikutoe out..... Simplicity boxing day ntakuhitaji pembeni yangu, babu Dark City sijakusahau.
nawatakieni heri ya christmass :busu
ahsantee!
halafu si umesema waja huku!
Salamu za upendeleo kwa yule inaesumbua moyo yangu Slave shostito wa ukwee Madame B, Passion Lady, Lady doctor best angu charminglady, mama ya mizombie Kongosho, msimuliaji wa ukwee lara 1, wazee waliozeeka na maini yao Baba V na Asprin, Mentor nimekumiss sana, Mr Rocky kama hautajali naomba christmass nikutoe out..... Simplicity boxing day ntakuhitaji pembeni yangu, babu Dark City sijakusahau.
nawatakieni heri ya christmass :busu
Salaam hizi ziwafikie wafuatao:-
Kwanza kwa familia yangu pendwa ya Daddy watu8 na Mummy measkron, Dada zandu wote sweetlady, WiseLady, Lady doctor, Passion Lady, ladyfurahia, Kaka yetu wa pekee Davie S.M.
Pili kwa Rock City Wing, Mwenyekiti Rock City, Home First, ram, Think pad, Elizabeth Dominic, Evelyn Salt, Mzee Gedeli na invisible member wote walioko Mwanza.
Tatu kwa Arusha Wing nikianza na Mwenyekiti PakaJimmy, Mlezi wa Rock Wing Arushaone, Erickb52, Mungi, Preta, Mzee wa Rula, marejesho, Filipo, Mr Rocky, Mkirua, black womani, Lily Flower, Tonypk na Invisible members wote mliopo Arusha.
Nne kwa Dar Wing ikiongozwa na Mzee Mtambuzi, Babu Asprin, Dada zangu wakubwa heshima kwenu gfsonwin, AshaDii, cacico, snowhite, Paloma, Chocs, Heaven on Earth, amu, Madame B, Mentor, Zion Daughter, sosoliso, Husninyo, Vin Diesel, TANMO, Simplicity, stevoh, BAK, Mwita Maranya Jiwe Linaloishi, My Lawyer Ruttashobolwa na Invisible member wote mliopo Dar Wing....
Tano kwa Tanga Wing.. Kunani paleee eeeh! Naanza na Babu yangu Dark City, YNNAH, Mwanyasi, KOKUTONA, Ennie na Invisible members wote mliopo TA...
Sita kwa unknown location..... Nikianzia kwa kaka mkubwa Kaizer, Joe Nyandigira, KakaJambazi, Nicas Mtei, SnowBall, Slave na wengineo
Mwisho kabisa napenda kuwatumia salamu za sikukuu viongozi wote wa JF nikianza na Founder @maxence mello Mungu awe nawe, Mike McKee, Fang, Paw, Invisible, Buchanan, Moderator na wengineo....
![]()
asante sana rafiki yangu kipenzi
nawe mungu awe pamoja nawe na
akuongoze ktk mwaka ujao,uwe wa mafanikio kwako!!amen!!
asante sana kaka binamu, nami nakutakia heri ya Xmas na Mwaka mpya uwe na afya nzuri na uepushwe na baya lolote lile na mipango yako iwe kama ulivyo tarajia katika kipindi hiki na kipindi kijacho cha mwaka 2014.
Asante sana Lady doctor ubarikiwe sana na ukawe na msimu mwema na mwanzo wa mwaka wenye mafanikio
thank u sana umepotea mno happy holiday hujajifungua tu
Nami nasema AMEEN,baraka hizo zirudi na kwako pia muke mwenza.
My appreciation Lady doctor...I wish you a very Merry X-mas and prosperous New Year of 2014 and all JF members all over the World.
![]()
Nasi pia twakupenda lovely daughter...
hivi dada kipenzi Ablessed, unajua unapendwa sana na dadako Lady doctor? basi anakusalimu, Heaven on Earth, mimi49 nawe Fixed Point salamu ziwafikie hapo mlipo....
Ahsante sana shemeji langu wa ukweli Lady doctor.. Na mie ninakutakia kila la kheri kwa sikukuu hii ya noeli na mwaka mpya.. Ninafurahi sana kwamba wewe na Arushaone mmekuwa ni sehemu ya maisha yangu hapa JF.. Mbarikiwe..
Asante sana my dear, afu ujue nina appointment na wewe, hebu ntafute pia ntakupa na umbea wa mtasha...... hahahaaaa!!!!!!!
Asante sana mpenzi, mpe hi mumeo Slave
Salaam hizi ziwafikie wafuatao:-
Kwanza kwa familia yangu pendwa ya Daddy watu8 na Mummy measkron, Dada zandu wote sweetlady, WiseLady, Lady doctor, Passion Lady, ladyfurahia, Kaka yetu wa pekee Davie S.M.
Pili kwa Rock City Wing, Mwenyekiti Rock City, Home First, ram, Think pad, Elizabeth Dominic, Evelyn Salt, Mzee Gedeli na invisible member wote walioko Mwanza.
Tatu kwa Arusha Wing nikianza na Mwenyekiti PakaJimmy, Mlezi wa Rock Wing Arushaone, Erickb52, Mungi, Preta, Mzee wa Rula, marejesho, Filipo, Mr Rocky, Mkirua, black womani, Lily Flower, Tonypk na Invisible members wote mliopo Arusha.
Nne kwa Dar Wing ikiongozwa na Mzee Mtambuzi, Babu Asprin, Dada zangu wakubwa heshima kwenu gfsonwin, AshaDii, cacico, snowhite, Paloma, Chocs, Heaven on Earth, amu, Madame B, Mentor, Zion Daughter, sosoliso, Husninyo, Vin Diesel, TANMO, Simplicity, stevoh, BAK, Mwita Maranya Jiwe Linaloishi, My Lawyer Ruttashobolwa na Invisible member wote mliopo Dar Wing....
Tano kwa Tanga Wing.. Kunani paleee eeeh! Naanza na Babu yangu Dark City, YNNAH, Mwanyasi, KOKUTONA, Ennie na Invisible members wote mliopo TA...
Sita kwa unknown location..... Nikianzia kwa kaka mkubwa Kaizer, Joe Nyandigira, KakaJambazi, Nicas Mtei, SnowBall, Slave na wengineo
Mwisho kabisa napenda kuwatumia salamu za sikukuu viongozi wote wa JF nikianza na Founder @maxence mello Mungu awe nawe, Mike McKee, Fang, Paw, Invisible, Buchanan, Moderator na wengineo....
![]()
siongei nae tumenuniana mwezi sasa labda uandike barua ntamuachia mezani.
Amen!!!
Baadae nitakucheki pacha wangu.