Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Asante sana kwa salamu za sikukuu, Mungu atujalie afya njema ili tuvuke salama kwenda mwakani.
Ujumbe: tuepuke ngono zembe.
Duh ujumbe murua kbs mkuu
Asante sana kwa salamu za sikukuu, Mungu atujalie afya njema ili tuvuke salama kwenda mwakani.
Ujumbe: tuepuke ngono zembe.
zimenifikia mpenziasante sana kaka binamu, nami nakutakia heri ya Xmas na Mwaka mpya uwe na afya nzuri na uepushwe na baya lolote lile na mipango yako iwe kama ulivyo tarajia katika kipindi hiki na kipindi kijacho cha mwaka 2014.
Salamu hiyo iwafikie marafiki zangu wapendwa Arushaone, Erickb52, Kipaji Halisi The Boss, sweetlady, Chocs Bishanga, Passion Lady, baba yangu kipenzi watu8, my mama measkron, dogo lake Ladymasa, my sis charminglady ladyfurahia, The secretary mwekundu, nitonye Mapi, Baba V, PakaJimmy, Ruttashobolwa, Simplicity, Invisible, Judgement, sosoliso, DEMBA Kaizer, WA-UKENYENGE, Madame B, Nicas Mtei, Kijino, KOKUTONA, Paloma, YNNAH, I am Strong, my lovely kaka kabanga, Ben Saanane, Chimbuvu, Jiwe Linaloishi, Mwanyasi, LiverpoolFC, amu, Mzee wa Rula, Mamndenyi, 'Valentina', Wisest man(miss u), Lily Flower, Mzee, Evelyn Salt, slave, kobun, mathematics, @C6, Katavi, mkiva Asprin, Smile, farkhina, Preta, 24hrs na wanajf woote Mungu awalinde na awenanyi katika kipindi choote cha sikukuu na kipindi chote cha uhai wenu, mazuri yawe nanyi na mabaya awaepushie!!!!!
Ubarikiwe Kiongozi nataki wewe na wana JF wote Heri ya Christmass na mwaka mpya wenye mafanikio
thanx much Mr Rocky. Nichukue nafasi hii kuwatakia wana cc wote heri ya krismasi na mwaka mpya.
Wana Chit Chat!
Msimu wa sikukuu ndiyo umefika sasa.
Naamini kila mmoja kwa namna yake ataenjoy na kufurahia sikukuu hizi.
Sasa kwa kupitia huu uzi, naombeni tupeane wishers zetu.
Wenye maua na mivuto mingine ya Ujumbe wa kiholidays!
Tupia hapa tufurahie pamoja.
Tupia hapa na salamu zako,
Za sikukuu!!
Marry Christmass and Happy New Year 2014..![]()
salamu kwako pia, nasi twakupenda sananiko hapa kaka yangu kipenzi
niifikishie salamu za sikukuu kwa rafiki yangu kipenzi Heaven on Earth, mimi49, Fixed Point na dada kipenzi Ablessed waambie nawapenda sana!
asante sana kwa kutupeperushia salamu hizi...hivi dada kipenzi Ablessed, unajua unapendwa sana na dadako Lady doctor? basi anakusalimu, Heaven on Earth, mimi49 nawe Fixed Point salamu ziwafikie hapo mlipo....
wii mwenzio nimesha anza kula bata mapemaaa na my asali huku ukanda wa baridi, sijui nitarudi lini home mie.
Fikisha salamu zangu za sikukuu kwa kiwatengu shansarie, BAK na Jerrymsigwa
Nawatakia Merry Xmas and Happy ne Year marafiki, ndugu na jamaa wote wa hapa JF kiroho safeey
Nawapenda wote
CC AshaDii gfsonwin DEMBA kiwatengu Mr Rocky Arushaone Heaven on Earth mwallu Mentor Dark City Kongosho Fixed Point Preta PakaJimmy Filipo marejesho Mwanyasi Paloma Asprin Fidel80 amu Ennie obsesd Mtoto halali na hela Tized sungura1980 Baba V Husninyo RR Teamo King'asti Mtambuzi Jeska Kipaji Halisi Madame B snowhite Karucee The Boss BAK kabanga Tonykp major mwenda miss strong
Asante sana Mkuu Kaizer
Heri hizo zikurudie na wewe na uwe na msimu mzuri wa sikukuu ya Xmass na Mwaka Mpya weney mafanikio na wenye baraka za Mungu
Kwa akina Arushaone, Erickb52, Nicas Mtei, Mentor, kiwatengu, Mamndenyi, Preta, Lady doctor, sweetlady, snowhite, King'asti, Heaven on Earth, Madame B, Zion Daughter, gfsonwin, AshaDii, sosoliso, mwallu, Mwalu, Paloma, Passion Lady, charminglady, Blaki Womani, Lily Flower, Chocs, amu, Husninyo, Dena Amsi Vin Diesel, Mkirua, TANMO, SIMplicity, stevoh, BAK, Jiwe Linaloishi, , Filipo, Bishanga, Asprin, Dark City, Paw, Invisible, Moderator, Mzee wa Rula, PakaJimmy, Mungi, RUTashubanyuma, Ruttashobolwa, nawatakia kila la heri katika kuumaliza mwaka salama na kuuingia mwaka mwingine wa 2014
asante sana kaka binamu, nami nakutakia heri ya Xmas na Mwaka mpya uwe na afya nzuri na uepushwe na baya lolote lile na mipango yako iwe kama ulivyo tarajia katika kipindi hiki na kipindi kijacho cha mwaka 2014.
Salamu hiyo iwafikie marafiki zangu wapendwa Arushaone, Erickb52, Kipaji Halisi The Boss, sweetlady, Chocs Bishanga, Passion Lady, baba yangu kipenzi watu8, my mama measkron, dogo lake Ladymasa, my sis charminglady ladyfurahia, The secretary mwekundu, nitonye Mapi, Baba V, PakaJimmy, Ruttashobolwa, Simplicity, Invisible, Judgement, sosoliso, DEMBA Kaizer, WA-UKENYENGE, Madame B, Nicas Mtei, Kijino, KOKUTONA, Paloma, YNNAH, I am Strong, my lovely kaka kabanga, Ben Saanane, Chimbuvu, Jiwe Linaloishi, Mwanyasi, LiverpoolFC, amu, Mzee wa Rula, Mamndenyi, 'Valentina', Wisest man(miss u), Lily Flower, Mzee, Evelyn Salt, slave, kobun, mathematics, @C6, Katavi, mkiva Asprin, Smile, farkhina, Preta, 24hrs na wanajf woote Mungu awalinde na awenanyi katika kipindi choote cha sikukuu na kipindi chote cha uhai wenu, mazuri yawe nanyi na mabaya awaepushie!!!!!
ahsante mno mr rocky! vipi arusha bado mna ukarimu wa kupokea wageni? nataka nije. lol
Husninyo karibu sana bado tuna ukarimu wa hali ya juu kuwapokea wageni na kwa hili Arushaone, Preta, Erickb52, Filipo, marejesho, PakaJimmy, Mzee wa Rula, Blaki Womani, Lily Flower wanakusikia na wanakukaribisha sana
ahsante🙂 nakutakia nawe kheri ya mwaka mpya!hivi dada kipenzi Ablessed, unajua unapendwa sana na dadako Lady doctor? basi anakusalimu, Heaven on Earth, mimi49 nawe Fixed Point salamu ziwafikie hapo mlipo....
Nawatakia kila la kheri walinzi wenzangu@rugwebe78 Ngongoseke farkhina Jerrymsigwa,@'valentine' binamutz na wote niliowasahau,pia wana cc wote...katika msimu huu wa sikukuu...
...Mungu awazidishie busara na hekima kwa mwaka ujao 2014::
ahsante Lady doctor!nakupenda pia 🙂niko hapa kaka yangu kipenzi
niifikishie salamu za sikukuu kwa rafiki yangu kipenzi Heaven on Earth, mimi49, Fixed Point na dada kipenzi Ablessed waambie nawapenda sana!
asante sana kaka binamu, nami nakutakia heri ya Xmas na Mwaka mpya uwe na afya nzuri na uepushwe na baya lolote lile na mipango yako iwe kama ulivyo tarajia katika kipindi hiki na kipindi kijacho cha mwaka 2014.
Salamu hiyo iwafikie marafiki zangu wapendwa Arushaone, Erickb52, Kipaji Halisi The Boss, sweetlady, Chocs Bishanga, Passion Lady, baba yangu kipenzi watu8, my mama measkron, dogo lake Ladymasa, my sis charminglady ladyfurahia, The secretary mwekundu, nitonye Mapi, Baba V, PakaJimmy, Ruttashobolwa, Simplicity, Invisible, Judgement, sosoliso, DEMBA Kaizer, WA-UKENYENGE, Madame B, Nicas Mtei, Kijino, KOKUTONA, Paloma, YNNAH, I am Strong, my lovely kaka kabanga, Ben Saanane, Chimbuvu, Jiwe Linaloishi, Mwanyasi, LiverpoolFC, amu, Mzee wa Rula, Mamndenyi, 'Valentina', Wisest man(miss u), Lily Flower, Mzee, Evelyn Salt, slave, kobun, mathematics, @C6, Katavi, mkiva Asprin, Smile, farkhina, Preta, 24hrs na wanajf woote Mungu awalinde na awenanyi katika kipindi choote cha sikukuu na kipindi chote cha uhai wenu, mazuri yawe nanyi na mabaya awaepushie!!!!!