mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,944
- 43,358
Kakupiga kamba. Labda sababu kira anacheza picha nyingi za lesbianismHee sio mwanamziki? Mbona demu wangu alitaja hili jina nikamuuliza akasema ni mcheza mziki?
Kakupiga kamba. Labda sababu kira anacheza picha nyingi za lesbianismHee sio mwanamziki? Mbona demu wangu alitaja hili jina nikamuuliza akasema ni mcheza mziki?
Chief na wewe unatafuta mchumba?Tumekuja hao wachumba siwaoni nionyeshe mtoa mada
Chagua vin Jimbo la kigamboni utapata Kila kitu humu ndani 😎😎😎😎 unakijua kitiki cha gold weweHapo pa kulipiwa platinum member ndipo napataka
Tupatee wachumbaa😂Unataka kusemaje kikuu? 🤣
😂😂😂Mpe laki Moja kaka anaweka mambo sekunde tu 😂
Poa.vipi wewe?Poa vipi umepata mchumba?
Ndio nipo kwenye gombania goli hapa sijui nitapata yupiChief na wewe unatafuta mchumba?
BadoPoa.vipi wewe?
Kabisa kaka 😎😎😎😎😂😂😂
Kesho nashinda jukwaa la mikeka ma betting kuitafuta 100k 😃😃😃
Maua anafaaNdio nipo kwenye gombania goli hapa sijui nitapata yupi
Ole wako🤣🤣🤣🤣Hahahaha ruksa kuongeza
Bhana wee kuna lile Mama na Mwanae jina limenitoka tu. Somebody Connor lile ni hatari wakina Jodi wanaruka nalo mnooo