Hapana. Ila comment yako ni ushahidi usiotia shaka kuhusu tatizo lako la afya ya akili. Kuna hospitali nzuri iko Dodoma wanaweza kukusaidiaKwa hiyo sasa unaniona hamnazo au sio?
Wanaenda kuchangia nyuzi za kutiki huko, itafika saa ngapi. Fikiria wa IG wameelewana nini cha kufanya. Sisi huku chawa akiweka nyuzi watu wanajazana huko. GT ndiyo ilitakiwa wawe na uelewa wa haraka. Nyuzi za machawa tusiguse, wataacha kuweka post. Sisi tudeal na NO REFORMS NO ELECTION.Come on guys, hata 1 K bado
Inciting mass violenceKosa?🥺🥺🥺😭😭