Hii kali ya karne 😀 Polepole kamwaga mboga na ugali 🔥
Haya tulisikia sikia leo kathibitisha Polepole kuwa database zimeunganishwa!
Tokeni mbishe tuone 🤣
Hii drama imenoga!
Pole sana kaka
Tunakushukuru kwa kutusanua na you have played your part na msamaha umetuomba tena na tena - umesamehewa!
Sasa atakayekenua mdomo eti uchaguzi akapimwe akili!
Au akubali kahongwa!
"Ninaomba CCM na hivyo vyama VIKAROGOSI muelewe, sisi hatujasusia uchaguzi. Sisi tunataka Reforms ili tuwe na uchaguzi Huru na wa Haki". Bi Ashura Masoud Katibu Chadema kanda ya Kati.
"Ninaomba CCM na hivyo vyama VIKAROGOSI muelewe, sisi hatujasusia uchaguzi. Sisi tunataka Reforms ili tuwe na uchaguzi Huru na wa Haki". Bi Ashura Masoud Katibu Chadema kanda ya Kati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.