Hii siyo military coup d'etat. Ni mapinduzi yaliyoanzishwa na wananchi na jeshi likaisoma namba na ku-side nao.
Kama wewe hujui wanachokitaka wao watakuwa wanajua.
Kama sie wenyewe hata hatujui tunachokitaka nchini mwetu tutajuaje wanachotaka watu wengine kwenye nchi zao?
Hii inadhihirisha imani ya dini yoyote haiwezi kutumika kama itikadi ya kuongoza serikali inayotakiwa kukidhi mahitaji ya wanaadamu hapa duniani. Taliban ni mfano mzuri, lakini tumeona al shabaab kule somalia, muslim brotherhood hapo misri. Nchi za kikristo ziligundua siku nyingi katika historia na kuacha itikadi ya dini kuongoza nchi. Uislaam bado haujakata tamaa. Inafaa waislaam kwa ujumla wao wakubali dhana ya serikali isiyokua na dini bila ubishi 'secularism' Hakuna serikali duniani inayoweza kutawala nyoyo za binaadamu ila inaweza tu kuweka sheria za kufuatwa na wananchi wake.>>>JESHI TAYARI LIMEPINDUA NCHI
The Egyptian army has announced fresh presidential and parliamentary elections after ousting Mohamed Morsi from power.
In an address to the divided nation, commander of the armed forces, Abdul Fatah Khalil al Sisi, said Mr Morsi had failed to meet the demands of the Egyptian people.
>>>>"Tanks were moving on the October 6 Nile Bridge in the heart of Cairo Wednesday, July 3, shortly after President Mohamed Morsi was removed from his palace and taken to a military base. Muslim Brotherhood leaders are also believed under arrest. Security travel bans have been issued against Brotherhood leaders. Sources in Cairo report that they will be tried for "crimes" committed during their year in office. A formal announcement is awaited by the military council after President Morsi and his government refused to stand down in response to the defense minister's ultimatum Wednesday, July 3. The generals have taken over the state television newsroom and are monitoring content. No clashes are so far reported between the rival demonstrators of Morsi's supporters and opponents packing central Cairo"
Muda wa saa 48 ndiyo umekwisa jeshi limetwaa kituo cha tv cha taifa . Habari za uhakika ni kuwa jeshi litaunda serikali ya mpito kwa miezi 12.
Bunge litavunjwa pamoja na kuifuta rasimu ya katiba iliyopitishwa. Uchaguzi wa wabunge na nyinginezo zitafanywa katika kipindi cha miezi 12 ijayo.
>>>>> UPDATES>>>>
>>>A military coup is underway in Egypt, according to President Mohamed Morsi's national security adviser"
>>> jeshi kwa sasa linaelekea kuzingira ofisi za umma.
>>> Raisi Morsi pamoja na maafisa wa juu wa chama cha muslim brotherhood wamezuiwa na jeshi kusafiri nje ya nchi kuanzia sasa.
>>>> watangazaji wa tv ya taifa wameamriwa na jeshi kurudi makwao . Kwa sasa maafisa wa jeshi ndiyo wanaendesha TV ya taifa.
>>>> Morsi asarimu amri na kusema yupo tayari kuunda serikali ya umoja wa kitaifa (bila kujiuzuru) lakini jeshi limemtolea nje kuwa muda wa kufanya hivyo ulishapita.
>>>>>> Tayari vifaru vya kijeshi vimeanza kuingia mtaani
![]()
>>> Hundreds of Egyptian soldiers, together with armored vehicles, are taking part in a military parade on the road near presidential palace, a witness told Reuters.
![]()
![]()
![]()
![]()
Waislamu ubwaubwa utawajuwa tu, unadhani waliompinduwa ni Wakristo? au jina la Muslim Brotherhood ndio linakutia kiwewe?Naamini raisi mursi bado anakubalika na wananchi, hao wanaompinga ni watu wachache tu na wanajeshi...naaminhp tahrir patachimbika
Actually, the whole debate is now centred on whether or not this is a military coup d'etat
Ozan O. Varol, "The Democratic Coup dEtat" (2012) 53 Harvard International Law Journal 291, uses three comparative case studies of the 1960 military coup in Turkey, the 1974 military coup in Portugal, and the 2011 military coup in Egypt to illustrate what he referred to as a "democratic coup phenomenon" and the constitutional entrenchment thesis: http://www.harvardilj.org/wp-content/uploads/2010/05/HLI203.pdf
But I wonder if the so called "2011 military coup in Egypt" was in fact a coup as Mubarak actually resigned.
Usilete mfano wa Tanzania na Misri, labda nikuulize wewe Anuar Saadat alikuwa na makosa gani? Gamal Abdel Nasser alikuwa na makosa gani? Hosn Mubaraka alikuwa na makosa gani? Morsi alikuwa na makosa gan?
Suala siyo nani alikuwa na makosa.
Pia the fact kuwa wewe unaona hawakuwa na makosa haina maana kuwa na Wamisri wanaona hivyo.
The fact kuwa mtawala ana au hana makosa haitampa mamlaka yoyote ya kumiliki the sovereignty of the people.
Suala hapa ni mmilikaji wa sovereignty, siyo makosa ya mmilikaji.
Sovereignty belong to the people. They can do whatever they want to do with it hata kama ni kuwakataa viongozi wasio na makosa.
In fact watu hawachagui viongozi kwa kigezo cha kama wana au hawana makosa bali kama wana capabilities na leadership skills za kuongoza nchi.
Mtu anaweza asiwe na kosa lolote lakini akashindwa kuongoza nchi.
The fact kuwa wewe ni msafi sana haina maana kuwa ni rusksa kuishi nyumbani kwangu as much as you wish.
I own my house na siku nikijisikia naweza kukuondoa na kumpangisha mwingine na hutaweza kujitetea eti hujafanya kosa lolote.
Tanzania tunamengi ya kujifunza toka misri,mtu kuteuliwa kwa kura sii kigezo cha kung'ang'ania madarakani kama hutumizi wajibu kama rais
Mapinduzi haya hayafanywi na baraza la jeshi pekee bali kwa kuwakutanisha wadau wote na hii ndio point muhimu.