Jeshi la wananchi Egypt lampindua Rais Morsi

Jeshi la wananchi Egypt lampindua Rais Morsi

Sio jambo la kuomba litupate Tanganyika, CUF wameonja joto ya JWTZ
 
Jioni hii huko jiji la Cairo kumeharibika, wanajeshi wamejaa ndani ya jiji wakiwa na vifaru na magari ya kivita pia wamefunga barabara zote za kuingia na kutoka Cairo, hii ni baada ya Morsi kukaidi agizo la jeshi.

Hivi wamisri wanataka nini! Basi waache waende mbinguni mapema maana wanaagizwa hivyo!
 
waarabu uwa awakat tamaa pia wako na umoja na wako tayari kufa kutetea jambo ambalo lina maslah kwao.waafrica tear gas tu tunakimbia speed mia
 
Mazungumzo ya Obama na Mursi wakati Obama akiwa Dar-es-Salaam siku ya Jumatatu.

Obama- "Mr Mursi eh whats up dude you've bolted it?"

Mursi- Ah no no I am trying to talk to SCAF but it's very difficult"

Obama- " Did you talk to Al sisi (Defence Minister General Abdel Fattah Al sisi)

Mursi -"ya but he is not listening to me, he has given me 48 hours deadline, I don't know what to do".

Obama- Ok its too late now you know, when you came in you indicated to us that you are a good chap and now you bolted it."

Mursi- "Sorry what do you mean?

Obama -" You've got to get used to it now to stay away, cause this is just a chaos"

Mursi - "Camon man you said you would help me with some more cash to inject in our financial system"

Obama- "I've got to go cause I'm in Dar-es-Salaam and Im going back to Washington on Tuesday, but I think if Im there then we can do something."

Mursi -" Are you hanging me out to dry or what?"

Obama - "Halooh halooh, sorry Mursi I can't hear you"
 
Angalau wanajeshi wa Misri wanajua maana halisi ya "maslahi ya taifa" na "uzalendo".
 
Egyptian State Television right now showing phone numbers for the military to report emergencies.
 
hata kwetu inafaa iwe hivo
tatizo jeshi limekuwa mali ya CCM badala ya kuwa mali ya umma.
Mkuu wa majeshi tanzania upo?
ona wenzio wanavojua kazi zao bila kujikomba komba kwa rais..

Hiyo ndio maana ya jeshi la wananchi. Sio hili la kwetu Jeshi la CCM Tanzania. Jeshi letu haliwezi kufanya hivi kwa sababu limelelewa kisiasa zaidi kuliko uzalendo. Morsi alipewa madaraka akajikita kwenye katiba ianayotaka Misri itambulike kama State of Islam. Wananchi wakamwambia sio kazi tuliokutuma. Tunataka mabadiliko ya kiuchumi, elimu na uboreshe Afya. Pia walitaka demokrasia zaidi kuliko ubaguzi hasa wa kidini. Hapa mwanaume anaongea huku anakuna kichwa kama ana mmba sie tunamchekea. Wenzetu wakizamiria wanatenda na kutekeleza. Hakunan ushabiki kwa sababu wanatambua nchi ni ya kwao na sio mali ya kikundi cha watu au chama fulani.
 
Breaking News: Political roadmap to be announced shortly by Egypt's leading Islamic institution, the Sheikh of al-Azhar University, with key opposition figure Mohamed ElBaradei and the Coptic Pope - Egyptian state news agency MENA
 
An army-backed plan for a new Egyptian political transition includes a short period of interim rule to be followed by presidential and parliamentary elections, the state news agency reported. It gave no further details - Reuters
 
Hapo sasa inakuwa ni ushabiki na sio uzalendo na ndio maana tuna safari ndefu kufikia ukombozi.
Hakuna ushabiki au uzalendo katika kumwaga damu. Bibi yangu ana zaidi ya miaka 100, balaa likiibuka nani atamsaidia? Mke wangu anategemea, balaa likiibuka atakwenda wapi. Tulipata ukombozi 1961, bila ya damu na history repeats itself
 
Hali inazidi kuwa tete ambapo wanajeshi wakiwa na vifaru wanajipanga karibu na makazi ya rais,kuna taarifa kuwa morsi kuzuiwa kutoka.
 
|Jeshi linatarajiwa kutoa tamko muda mchache ujao.
 
A security source confirms to BBC Arabic that Muslim Brotherhood Supreme Guide Mohammed Badie was prevented from crossing into Libya via the Saloum crossing. They denied reports he was arrested.
 
Back
Top Bottom