Mohamed Mursi amekwishaambiwa kwamba yeye si rais wa Misri tangu masaa matatu yaliyopita, kinachosubiriwa ni serikali ya mpito itayoongoza hadi utakapofanyika uchaguzi mwingine.
Jambo muhimu ambalo Generali Al-Sisi amesema ni kwamba Mohamed Mursi alionywa kwa miezi mingi tu kwamba hali ya kutokukubaliana na wapinzani wake kwenye mambo kadhaa (ya msingi) kungempeleka mahali pabaya..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.