Lakini si walimchagua wenyewe, au alijiweka kwa nguvu..??
Nimefurahi sana.ye MORSI si aliunga mkono kwa Asady apinduliwe syria.sasa anaondoka yeye mwenzie bado anakula bata japo kiubishi.
Hakuna shida mkuu, waache wabadilishe tu kama mashati, ila wasiwe wanauwa raia hovyo hovyo, wayafanye hayo kwa amani..ndio! Thats why hata kumtoa wanamtoa wenyewe, wewe shida yako iko wapi mkuu?
Hapo ndio muujue U,honeythi wa Mmarekani.
Naona mambo yanazidi kunoga kwa wenzetu. Raisi yupo under house arrest na jeshi la nchi hiyo.
marekani jana walikua agaisnt jeshi la misri kuchukua madaraka na walilionya jeshi la misri kutofanya hivyo lakini jeshi la misri lilikataa naona muvi nyingine kama ya syria iko mbioni hapo.
Hakuna shida mkuu, waache wabadilishe tu kama mashati, ila wasiwe wanauwa raia hovyo hovyo, wayafanye hayo kwa amani..
Nimefurahi sana.ye MORSI si aliunga mkono kwa Asady apinduliwe syria.sasa anaondoka yeye mwenzie bado anakula bata japo kiubishi.
Watanzania tujifunze ulaghai wa chadema kutoka kwa wamisri, walimtimua rais aliyepita wakamchagua morsi, amedumuuuuuuuuuuu??????? Hii ni janja ya nyani kula hindi bichi
Morsi aache uhafidhina...kama Mubarak alitolewa kwa mabavu yeye angejitahidi kujishusha.