Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 1,997
- 7,552
Napenda kupongeza jeshi la polisi kwa kushirikiana na wananchi kuwatimua vijana zaidi ya 400 waliokuwa wamekusanywa na Q NET wakipewa ndoto za utajiri wa haraka na wao kuombwa kiasi cha milioni 5 ili kutajirika.
Sasa iko hivi, hawa Q NET wana ka mtandao kengine wanakaita Rythim Foundation wamewakusanya watoto wa watu na wanapiga simu kwa wazazi na walezi wakiomba milioni 5 kwa kila mtoto ili wawape kazi yenye kipato kisichopungua milioni 1 kwa mwezi, hao watoto ni mabinti wa moto kidogo, kwa hiyo wakufunzi wanawatumia nyakati za usiku kama viburudisho murua huku wakiwaonesha picha za nyumba na magari ya kifahari kama alivyokuwa akifanya Ontario.
Kazi kwenu jeshi la polisi, watoto wamewehushwa huko.
Sasa iko hivi, hawa Q NET wana ka mtandao kengine wanakaita Rythim Foundation wamewakusanya watoto wa watu na wanapiga simu kwa wazazi na walezi wakiomba milioni 5 kwa kila mtoto ili wawape kazi yenye kipato kisichopungua milioni 1 kwa mwezi, hao watoto ni mabinti wa moto kidogo, kwa hiyo wakufunzi wanawatumia nyakati za usiku kama viburudisho murua huku wakiwaonesha picha za nyumba na magari ya kifahari kama alivyokuwa akifanya Ontario.
Kazi kwenu jeshi la polisi, watoto wamewehushwa huko.