Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 899
- 2,207
Maeneo ya Fire Kariakoo hakupitiki.
Ni wapi huko mkuu kusikokuwa na shida, isije ikawa ndio kuleee mbele ya hakiNdio maana tunataka wapelekwe sehemu nzuri isiyokuwa na shida
Ni vyema Jeshi la Polisi likampelekea Abdul Nondo na waandamanaji wenzake ambao wanaweza kufika kumi au ishirini, wito wamuhoji nia yake, na kisha wamuelekeze kwamba, kiusalama, ni vyema maandamano yake yakaishie Mwembeyanga au Ofisi za ACT Wazalendo, wakapokewe na Kiongozi wao mkuu. Hata Manzese, watasababisha usumbufu tu usio wa lazima
Jukumu la Jeshi la Polisi ni kuangalia pia muandamanaji anataka kupita wapi, na huko anakopita je, hatahatarisha Uhuru wa watu wengine. Polisi wanaweza kumsaidia Nondo kwa sababu bado ni mtoto mdogo, sijui kama ana miaka hata 15, ila tu jina lake ndio limfanye ajione ni nondo.
Juzi tumeona Kenya wenye katiba mpya pia walizuiwa kuingia katikati ya mji na kwenye makazi ya Rais
Yale ya mange kimambi yalikuwa yanaongozwa na nn ? Mbona mliyapinga kwa vifaru? Yale ya UKUTA yaliongozwa na nn mbona yalipingwa?Wewe ni mbunda ya mva, hii nchi siyo mali ya ukoo wenu, inaongozwa na sheria! Maandamano yapo kisheria
Jinga kabisa
Mwizi mmojawao huyu hapa. Anatetemeka balaawakitimuliwa hela ndo itarudi?
Na wewe jaribu kama unao huo uwezo!Yale ya mange kimambi yalikuwa yanaongozwa na nn ? Mbona mliyapinga kwa vifaru? Yale ya UKUTA yaliongozwa na nn mbona yalipingwa?
Wewe umefiwa tu unahuzuni umejawa na chuki Huna lolote la kusema juu ya maandamo walipotaka kuandamana mlisema wanatumiwa.
MUNGU KAINGILIA KATI KAPIGA NGWALA SASA MNAYAUNGA MKONO ????
Eti yanaongozwa na sheria? Unakumbuka kauli ya makonda dhidi ya watumishi may most? Kaeni kimya
Uwezo wa kufanya nn? Mm sijawahi kupinga maandamano popote kwenye maisha yangu wewe kwa sababu mungu wako kafa leo ndo unakata mauno na kusema maandamano yapo kwa mujibu wa sheria? Sheria zipi? Yale ya mange yalikuwa kwa mujibu wa nn mbona yalipingwa? Yale ya ukuta je? Mbona hata vifaru viliachiliwa? Leo ndo mnaona kwamba kuna sheria za maandamano kwakuwa lile dubwasha lend limekufa?Na wewe jaribu kama unao huo uwezo!
Kufa sio hoja kwa sababu leo wewe unakufa!Uwezo wa kufanya nn? Mm sijawahi kupinga maandamano popote kwenye maisha yangu wewe kwa sababu mungu wako kafa leo ndo unakata mauno na kusema maandamano yapo kwa mujibu wa sheria? Sheria zipi? Yale ya mange yalikuwa kwa mujibu wa nn mbona yalipingwa? Yale ya ukuta je? Mbona hata vifaru viliachiliwa? Leo ndo mnaona kwamba kuna sheria za maandamano kwakuwa lile dubwasha lend limekufa?
Wewe ndo mjinga namba moja ! Unapost ujinga ati wananchi wanamlilia mtu aliyetumia madaraka yake kua, kutesa na kupiga watu risasi kama wezi?Kufa sio hoja kwa sababu leo wewe unakufa!
Zungumza hoja acha ujinga!
WALOLA VUNZYA acha ubaoya, unataka watu tuwe tunaposti unachotaka wewe?Wewe ndo mjinga namba moja ! Unapost ujinga ati wananchi wanamlilia mtu aliyetumia madaraka yake kua, kutesa na kupiga watu risasi kama wezi?
Watu wanaandika kitabu we hata kusoma hujasoma wewe unapayuka kuwatukana.
Mm na wewe nani mpumbavu sasa?
Jana wakati yupo hai ulisema maandamano siyo halali, leo wakati yupo SSH msiyempenda unashadadia maandamano ati yapo kwq mujibu wa sheria umejua leo?
Mpumbavu wewe keshakufa sasa
Ujinga ni pale mtuKufa sio hoja kwa sababu leo wewe unakufa!
Zungumza hoja acha ujinga!
Siyo walovuya mpumbavu wewe sisi hatutumii account zaidi ya moja kama nyie majuha.WALOLA VUNZYA acha ubaoya, unataka watu tuwe tunaposti unachotaka wewe?
Wewe pumbavu unahofia basha zako maandamano yatapita nao?Ni vyema Jeshi la Polisi likampelekea Abdul Nondo na waandamanaji wenzake ambao wanaweza kufika kumi au ishirini, wito wamuhoji nia yake, na kisha wamuelekeze kwamba, kiusalama, ni vyema maandamano yake yakaishie Mwembeyanga au Ofisi za ACT Wazalendo, wakapokewe na Kiongozi wao mkuu. Hata Manzese, watasababisha usumbufu tu usio wa lazima
Jukumu la Jeshi la Polisi ni kuangalia pia muandamanaji anataka kupita wapi, na huko anakopita je, hatahatarisha Uhuru wa watu wengine. Polisi wanaweza kumsaidia Nondo kwa sababu bado ni mtoto mdogo, sijui kama ana miaka hata 15, ila tu jina lake ndio limfanye ajione ni nondo.
Juzi tumeona Kenya wenye katiba mpya pia walizuiwa kuingia katikati ya mji na kwenye makazi ya Rais
Na wakitoka huko waje Lumumba hapa TUWAFUTURISHENi vyema Jeshi la Polisi likampelekea Abdul Nondo na waandamanaji wenzake ambao wanaweza kufika kumi au ishirini, wito wamuhoji nia yake, na kisha wamuelekeze kwamba, kiusalama, ni vyema maandamano yake yakaishie Mwembeyanga au Ofisi za ACT Wazalendo, wakapokewe na Kiongozi wao mkuu. Hata Manzese, watasababisha usumbufu tu usio wa lazima
Jukumu la Jeshi la Polisi ni kuangalia pia muandamanaji anataka kupita wapi, na huko anakopita je, hatahatarisha Uhuru wa watu wengine. Polisi wanaweza kumsaidia Nondo kwa sababu bado ni mtoto mdogo, sijui kama ana miaka hata 15, ila tu jina lake ndio limfanye ajione ni nondo.
Juzi tumeona Kenya wenye katiba mpya pia walizuiwa kuingia katikati ya mji na kwenye makazi ya Rais
Ground hata Wanachama wa CDM wamegoma kumkataa Magu na falsafa zake,cdm haina muda wa kupigania mapumbavu hasa ya ccm yanayojificha jf yaendelee kupigika tu maana mliipenda wenyewe.
Viongozi wa CDM wanatakiwa waangalie HOJA zinazoandamaniwa na ACT,Kwn mpk Chadema wawepo ?? Andamaneni tu si mnaongoza serikali huko zenji?? Sasa kelele za nn ???
Kwamba Unadhani wanaweza kurudisha pesa wakiwa ofisini bila kutimuliwa ndo wabanwe kuzirudisha?wakitimuliwa hela ndo itarudi?
Duniani ni Tanzania pekee inayosubiri eti viongozi watatu wa chama waandamane kwa niaba yao! Huu ni ujuha, wananchi buandamana baada ya kuchukizwa na jambo bila kujali vyama.Maandamano ni HAKI ya kikatiba.
CDM cjui wamejificha wapi kuanzisha maandamano kushinikiza mawaziri walioguswa na Ripoti ya cag watimuliwe.