Jeshi LA Ivory Coast lakinukisha!

Jeshi LA Ivory Coast lakinukisha!

Kabla ya kuanza kuandika upuuzi jiulize nani kamuingiza Outtara madarakani? Kama unataka kumtoa Mzungu kwenye hii equation, kwa nini Majeshi ya Ufaransa yaliingia Ivory Coast kwenda kumkamata Gbagbo kwa nguvu?

Hata kama, matokeo ya uchaguzi yalionesha gbagbo kashindwa na akanga'ng'ania kubaki madarakani, nguvu ya umma na hao unaowaita wazungu wakamng'oa. So people decided to put him out first, unless election result was doctored.
 
Hata kama, matokeo ya uchaguzi yalionesha gbagbo kashindwa na akanga'ng'ania kubaki madarakani, nguvu ya umma na hao unaowaita wazungu wakamng'oa. So people decided to put him out first, unless election result was doctored.


Kwa nini Mzungu aingilie? Unaelewa maana ya nchi kuwa huru?
 
Mmmh hayo ndio madhara ya kuajiri kila mwaka wanajeshi 2000 hata kama nchi haipo vitani na haina viashiria ya vita au hatari! ILI

Kwa nchi kama Tz isiyo na vita; bora Walimu na madaktari ndio wa andamane.
NASHUKURU SN VYOMBO VYA ULINZI KWA KULINDA MIPAKA YETU, AMANI YETU, NA RAIA WAKE WOTE. BILA KUSAHAU ULINZI ALIONAO KWA SASA MHE: RAIS Dr. JOHN P. MAGUFULI. NAFAHAMU ANA MAADUI KIBAO.

ILI HAYO YA IVORY COAST YASITOKEE TZ, JESHI LETU LIFANYE HAYA:

1. Wa ajiri std 7 (Tall, black , full of meat, chest, katili,nk) kama 3000 na wasambazwe Dar, Mwz na Arusha. Kazi ni kudili na Vigodoro, Kanga Moko, Panya Road, Majambazi, Vibaka, nk. Watakuwa hawaonekani mchana (hulala), kazi yao ni usiku tu. HAKUNA KUZOEANA NA RAIA.
Na tuache siasa ktk Jeshi eti nafasi 2000 kila mkoa 100 hakuna hiyo. MARA muwape hata 1000. Naturally, they are born Soldiers. Chondechonde tusi wa Ignore std 7 ktk jeshi letu. Hawa wasomi ni legelege sn afu waoga mnoo!! Muiba tu ukimchoma hadi kwa doctor ndio autoe.

2. Jeshi letu liwe na Vikosi maalum vya kudeal na Ugaidi tu. Achana na hizi kelele za Mwigulu eti Rwakatare ni gaidi. Hajui ugaidi na haujaingia Bongo. Viwanja vyetu vya mipira vimezungukwa na misitu, gaidi kupenya ni raisi sn na kuua mamia. Hakuna check points Bank, Big supermarkets, viwanjani-michezoni, matamasha na warsha, mikutano ya Injili na ya kisiasa, music, nk.
Msipende kuwa singizia Al-Shabab hawajaingia. Bongo tuko uchi mno kwa Al-Shabab. Tujiandae mapema. Hawa wa track Money transfer, wasafiri wa anga, Drug dealers, na kuwekeza ktk majasusi yaliyo kubuhu!!

3. IT based Army. Hayo matofali wanayo pasua, misumari mara kuvuta magari havina tija karne ya 21. Tunaweza kuwa na jeshi dogo lakini lenye nguvu sn iwapo litaendana na technolojia. Mf. Tumpige MALAWI ndani ya dk 20 tu, nchi yote ni Moshi!!! Hakuna haja ya kwenda Maputo Physically. DRONES, JETS, BOMBS, Submarines, nk. Jeshi liwe na wabunifu ktk IT (ya Ukweli-pelekeni Vijana China, Russia, USA, GERMAN, UK; ) magari, mabomu, makombora, ndege, madawa hata ya UKIMWI watafute tiba wao).

NI MAAJABU ETI POLISI WA TZ HAJUI KUTEGUA BOMU KARNE YA 21!!!
NINA NIA NZR. NAIPENDA SN TZ YENYE AMANI NA MSHIKAMANO. SI INGILII MAMLAKA ZENU ILA NI USHAURI TU.
MUNGU WABARIKI TISS, SUMA JKT, POLICE WOTE,& JWTZ WAZIDI KUTII MAMLAKA ZA JUU KWA NIDHAMU MLIYOFUNDISHWA!
We jamaa umeongea jambo la mbolea sana, nimetabasamu. Umeniondolea ndita nilizopata baada ya kusoma comments za Barbarosa
 
Majeshi ya africa yakiongozwa na senegal yakiingia Gambia pia we unaichukuliaje? Uvamizi?


Ndiyo ni Uvamizi! Chombo pekee chenye uwezo wa kuamua ni UN chini ya UNSC, kinyume na hapo ni illigal war, na kuna sababu kwa nini huo utaratibu umewekwa!!
 
Mmmh hayo ndio madhara ya kuajiri kila mwaka wanajeshi 2000 hata kama nchi haipo vitani na haina viashiria ya vita au hatari! ILI

Kwa nchi kama Tz isiyo na vita; bora Walimu na madaktari ndio wa andamane.
NASHUKURU SN VYOMBO VYA ULINZI KWA KULINDA MIPAKA YETU, AMANI YETU, NA RAIA WAKE WOTE. BILA KUSAHAU ULINZI ALIONAO KWA SASA MHE: RAIS Dr. JOHN P. MAGUFULI. NAFAHAMU ANA MAADUI KIBAO.

ILI HAYO YA IVORY COAST YASITOKEE TZ, JESHI LETU LIFANYE HAYA:

1. Wa ajiri std 7 (Tall, black , full of meat, chest, katili,nk) kama 3000 na wasambazwe Dar, Mwz na Arusha. Kazi ni kudili na Vigodoro, Kanga Moko, Panya Road, Majambazi, Vibaka, nk. Watakuwa hawaonekani mchana (hulala), kazi yao ni usiku tu. HAKUNA KUZOEANA NA RAIA.
Na tuache siasa ktk Jeshi eti nafasi 2000 kila mkoa 100 hakuna hiyo. MARA muwape hata 1000. Naturally, they are born Soldiers. Chondechonde tusi wa Ignore std 7 ktk jeshi letu. Hawa wasomi ni legelege sn afu waoga mnoo!! Muiba tu ukimchoma hadi kwa doctor ndio autoe.

2. Jeshi letu liwe na Vikosi maalum vya kudeal na Ugaidi tu. Achana na hizi kelele za Mwigulu eti Rwakatare ni gaidi. Hajui ugaidi na haujaingia Bongo. Viwanja vyetu vya mipira vimezungukwa na misitu, gaidi kupenya ni raisi sn na kuua mamia. Hakuna check points Bank, Big supermarkets, viwanjani-michezoni, matamasha na warsha, mikutano ya Injili na ya kisiasa, music, nk.
Msipende kuwa singizia Al-Shabab hawajaingia. Bongo tuko uchi mno kwa Al-Shabab. Tujiandae mapema. Hawa wa track Money transfer, wasafiri wa anga, Drug dealers, na kuwekeza ktk majasusi yaliyo kubuhu!!

3. IT based Army. Hayo matofali wanayo pasua, misumari mara kuvuta magari havina tija karne ya 21. Tunaweza kuwa na jeshi dogo lakini lenye nguvu sn iwapo litaendana na technolojia. Mf. Tumpige MALAWI ndani ya dk 20 tu, nchi yote ni Moshi!!! Hakuna haja ya kwenda Maputo Physically. DRONES, JETS, BOMBS, Submarines, nk. Jeshi liwe na wabunifu ktk IT (ya Ukweli-pelekeni Vijana China, Russia, USA, GERMAN, UK; ) magari, mabomu, makombora, ndege, madawa hata ya UKIMWI watafute tiba wao).

NI MAAJABU ETI POLISI WA TZ HAJUI KUTEGUA BOMU KARNE YA 21!!!
NINA NIA NZR. NAIPENDA SN TZ YENYE AMANI NA MSHIKAMANO. SI INGILII MAMLAKA ZENU ILA NI USHAURI TU.
MUNGU WABARIKI TISS, SUMA JKT, POLICE WOTE,& JWTZ WAZIDI KUTII MAMLAKA ZA JUU KWA NIDHAMU MLIYOFUNDISHWA!

Hahah naona hiyo IT based army, mara drones, bombs hao darasa la saba wako wataweza fanya wenye hayo mambo yote si ndiyo au ?? Maana umesema jeahi lisiwaajili wasomi
 
Jamaa wameingia mtaani, wameteka watu na Makao Makuu ya Jeshi LA Nchi hio. Waziri wa Ulinzi Anaendelea ku- negotiate nao, wanataka salary ya Dollar 8000 na Nyumba kwa kila MTU.

Rais amehutubia kwa kifupi sana na kuwaambia hio sio proper way to negotiate. Wana akili Sana Hao jamaa, they know their value.

Source: Aljazeera, Reuters na BBC

Ivory Coast soldiers mutiny spreads to Abidjan - BBC News
MMAMAZAOO AWAKUWAHI KUWAPA HATA DOLA 200 WAJEPATA 8000 SHAME N THEM
 
Kabla ya kuanza kuandika upuuzi jiulize nani kamuingiza Outtara madarakani? Kama unataka kumtoa Mzungu kwenye hii equation, kwa nini Majeshi ya Ufaransa yaliingia Ivory Coast kwenda kumkamata Gbagbo kwa nguvu?
Nilichokisema ndo hicho unachokiamini wewe Kama mtu mweusi siwezi kurudia tena. Vipi waliomuingiza Shein Zanzibar ni wazungu pia?
 
Safi muosha huoshwa huyu jamaa (Raisi wa Ivory Coast) ndiyo aliyemfitini Gbagbo pmj na Wazungu wake na alikuwa anajitayasrisha kuivamia Gambia, sasa na yeye ajiandae shwaini huyu kibaraka ya Mzungu! Dola 8000 ataitoa wapi? Hiyo ni coup d'état dadadeki ndo ajue Wazungu siyo watu wa kuwaamini hata siku moja, wameshamgeuka!
Wazungu ndio wamewatuma?Hizi akili hizi itakuwa ni za pande zile,zinaleta ujinga sana!kila tatizo la mwafrika-wazungu!
 
Hahah naona hiyo IT based army, mara drones, bombs hao darasa la saba wako wataweza fanya wenye hayo mambo yote si ndiyo au ?? Maana umesema jeahi lisiwaajili wasomi
Sijui Elimu zenu zipoje? Uwe unasoma na una elewa, ndio una comment! Na sijasema jeshi zima liwe std (wasi wa Ignore std7). Kwani vita vya Kagera degree holders ndio walipigana?
Nimeainisha kazi za std 7. Ikiwa ni pamoja na kupigana pia.

Pia nimeweka mf tu wa idadidi ya std 7 (3000). Nani ka kwambia jeshi zima ni la Tz ni watu 3000? Badala ya LAKI hata1.
 
Ni kawaida ya mtu mweusi kudhani kwamba kila tatizo analopata limesababishwa na mzungu hii tumeiona hata marekani watu weusi wana inferiority complex kwahiyo sikushangai wewe.
Mpuuzi ndiyo jina linalokufaa.Waliosema Urusi imehujumu uchaguzi wa Marekani ni weusi.Kama unawapenda na kuwaamini kiasi hicho jibadili uwe mwenzao.
 
Sijui Elimu zenu zipoje? Uwe unasoma na una elewa, ndio una comment! Na sijasema jeshi zima liwe std (wasi wa Ignore std7). Kwani vita vya Kagera degree holders ndio walipigana?
Nimeainisha kazi za std 7. Ikiwa ni pamoja na kupigana pia.

Pia nimeweka mf tu wa idadidi ya std 7 (3000). Nani ka kwambia jeshi zima ni la Tz ni watu 3000? Badala ya LAKI hata1.
Mkuu hii ndio mijinga ambayo IPO
Kutetea na kusema ndio kila kitu. Andiko lako limeeleweka kabisa juu ya mgawanyo wa kazi za jwtz kama ulivoanisha ila jinga Moja linakurupuka toka huko ndotoni lina comment tu bila kusoma kwa makini.
 
Back
Top Bottom