Jeshi LA Ivory Coast lakinukisha!

Elli

Platinum Member
Mar 17, 2008
55,520
86,081
Jamaa wameingia mtaani, wameteka watu na Makao Makuu ya Jeshi LA Nchi hio. Waziri wa Ulinzi Anaendelea ku- negotiate nao, wanataka salary ya Dollar 8000 na Nyumba kwa kila MTU.

Rais amehutubia kwa kifupi sana na kuwaambia hio sio proper way to negotiate. Wana akili Sana Hao jamaa, they know their value.

Source: Aljazeera, Reuters na BBC

Ivory Coast soldiers mutiny spreads to Abidjan - BBC News
 
Jamaa wameingia mtaani, wameteka watu na Makao Makuu ya Jeshi LA Nchi hio. Waziri wa Ulinzi Anaendelea ku- negotiate nao, wanataka salary ya Dollar 8000 na Nyumba kwa kila MTU.

Rais amehutubia kwa kifupi sana na kuwaambia hio sio proper way to negotiate. Wana akili Sana Hao jamaa, they know their value.

Source: Aljazeera, Reuters na BBC

Ivory Coast soldiers mutiny spreads to Abidjan - BBC News


Safi muosha huoshwa huyu jamaa (Raisi wa Ivory Coast) ndiyo aliyemfitini Gbagbo pmj na Wazungu wake na alikuwa anajitayasrisha kuivamia Gambia, sasa na yeye ajiandae shwaini huyu kibaraka ya Mzungu! Dola 8000 ataitoa wapi? Hiyo ni coup d'état dadadeki ndo ajue Wazungu siyo watu wa kuwaamini hata siku moja, wameshamgeuka!
 
Safi muosha huoshwa huyu jamaa (Raisi wa Ivory Coast) ndiyo aliyemfitini Gbagbo pmj na Wazungu wake na alikuwa anajitayasrisha kuivamia Gambia, sasa na yeye ajiandae shwaini huyu kibaraka ya Mzungu! Dola 8000 ataitoa wapi? Hiyo ni coup d'état dadadeki ndo ajue Wazungu siyo watu wa kuwaamini hata siku moja, wameshamgeuka!

2a6799f832c1c3effa024331c1c2cca6.jpg
 
Safi muosha huoshwa huyu jamaa (Raisi wa Ivory Coast) ndiyo aliyemfitini Gbagbo pmj na Wazungu wake na alikuwa anajitayasrisha kuivamia Gambia, sasa na yeye ajiandae shwaini huyu kibaraka ya Mzungu! Dola 8000 ataitoa wapi? Hiyo ni coup d'état dadadeki ndo ajue Wazungu siyo watu wa kuwaamini hata siku moja, wameshamgeuka!

Bila shaka wewe ni nyani aliyefundishwa na wazungu kuandika.
 
Safi muosha huoshwa huyu jamaa (Raisi wa Ivory Coast) ndiyo aliyemfitini Gbagbo pmj na Wazungu wake na alikuwa anajitayasrisha kuivamia Gambia, sasa na yeye ajiandae shwaini huyu kibaraka ya Mzungu! Dola 8000 ataitoa wapi? Hiyo ni coup d'état dadadeki ndo ajue Wazungu siyo watu wa kuwaamini hata siku moja, wameshamgeuka!
Ni kawaida ya mtu mweusi kudhani kwamba kila tatizo analopata limesababishwa na mzungu hii tumeiona hata marekani watu weusi wana inferiority complex kwahiyo sikushangai wewe.
 
Safi muosha huoshwa huyu jamaa (Raisi wa Ivory Coast) ndiyo aliyemfitini Gbagbo pmj na Wazungu wake na alikuwa anajitayasrisha kuivamia Gambia, sasa na yeye ajiandae shwaini huyu kibaraka ya Mzungu! Dola 8000 ataitoa wapi? Hiyo ni coup d'état dadadeki ndo ajue Wazungu siyo watu wa kuwaamini hata siku moja, wameshamgeuka!
Senegal ndo inajiandaa kumtoa madarakani Yahya Jammeh 19-01-2017,Siyo Ivory coast
 
Ni kawaida ya mtu mweusi kudhani kwamba kila tatizo analopata limesababishwa na mzungu hii tumeiona hata marekani watu weusi wana inferiority complex kwahiyo sikushangai wewe.


Kabla ya kuanza kuandika upuuzi jiulize nani kamuingiza Outtara madarakani? Kama unataka kumtoa Mzungu kwenye hii equation, kwa nini Majeshi ya Ufaransa yaliingia Ivory Coast kwenda kumkamata Gbagbo kwa nguvu?
 
Back
Top Bottom