Jeshi LA Ivory Coast lakinukisha!

Jeshi LA Ivory Coast lakinukisha!

Ni kawaida ya mtu mweusi kudhani kwamba kila tatizo analopata limesababishwa na mzungu hii tumeiona hata marekani watu weusi wana inferiority complex kwahiyo sikushangai wewe.
mkuu lancanshire temana na hili zuzuh halielewki. Limekuwa likimsifu humu Trump utadhan ni baba yake had akapata urais. Nalimekuwa likiwaponda Obama na mkewe humu humu jf nakuwaita nyani lipotezee
 
Salary ya dollar 8000 za U.S. au za zimbambwe....? Kama ni $8000 ya U.S. basi hata mie ntaenda kujiunga na jeshi lao
 
Safi muosha huoshwa huyu jamaa (Raisi wa Ivory Coast) ndiyo aliyemfitini Gbagbo pmj na Wazungu wake na alikuwa anajitayasrisha kuivamia Gambia, sasa na yeye ajiandae shwaini huyu kibaraka ya Mzungu! Dola 8000 ataitoa wapi? Hiyo ni coup d'état dadadeki ndo ajue Wazungu siyo watu wa kuwaamini hata siku moja, wameshamgeuka!
Tutalisovu, na Gambia tunaenda kumng'oa ndg yako Jammeh... Chizi yule asiye na hofu ya Mungu
 
Mmmh hayo ndio madhara ya kuajiri kila mwaka wanajeshi 2000 hata kama nchi haipo vitani na haina viashiria ya vita au hatari! ILI

Kwa nchi kama Tz isiyo na vita; bora Walimu na madaktari ndio wa andamane.
NASHUKURU SN VYOMBO VYA ULINZI KWA KULINDA MIPAKA YETU, AMANI YETU, NA RAIA WAKE WOTE. BILA KUSAHAU ULINZI ALIONAO KWA SASA MHE: RAIS Dr. JOHN P. MAGUFULI. NAFAHAMU ANA MAADUI KIBAO.

ILI HAYO YA IVORY COAST YASITOKEE TZ, JESHI LETU LIFANYE HAYA:

1. Wa ajiri std 7 (Tall, black , full of meat, chest, katili,nk) kama 3000 na wasambazwe Dar, Mwz na Arusha. Kazi ni kudili na Vigodoro, Kanga Moko, Panya Road, Majambazi, Vibaka, nk. Watakuwa hawaonekani mchana (hulala), kazi yao ni usiku tu. HAKUNA KUZOEANA NA RAIA.
Na tuache siasa ktk Jeshi eti nafasi 2000 kila mkoa 100 hakuna hiyo. MARA muwape hata 1000. Naturally, they are born Soldiers. Chondechonde tusi wa Ignore std 7 ktk jeshi letu. Hawa wasomi ni legelege sn afu waoga mnoo!! Muiba tu ukimchoma hadi kwa doctor ndio autoe.

2. Jeshi letu liwe na Vikosi maalum vya kudeal na Ugaidi tu. Achana na hizi kelele za Mwigulu eti Rwakatare ni gaidi. Hajui ugaidi na haujaingia Bongo. Viwanja vyetu vya mipira vimezungukwa na misitu, gaidi kupenya ni raisi sn na kuua mamia. Hakuna check points Bank, Big supermarkets, viwanjani-michezoni, matamasha na warsha, mikutano ya Injili na ya kisiasa, music, nk.
Msipende kuwa singizia Al-Shabab hawajaingia. Bongo tuko uchi mno kwa Al-Shabab. Tujiandae mapema. Hawa wa track Money transfer, wasafiri wa anga, Drug dealers, na kuwekeza ktk majasusi yaliyo kubuhu!!

3. IT based Army. Hayo matofali wanayo pasua, misumari mara kuvuta magari havina tija karne ya 21. Tunaweza kuwa na jeshi dogo lakini lenye nguvu sn iwapo litaendana na technolojia. Mf. Tumpige MALAWI ndani ya dk 20 tu, nchi yote ni Moshi!!! Hakuna haja ya kwenda Maputo Physically. DRONES, JETS, BOMBS, Submarines, nk. Jeshi liwe na wabunifu ktk IT (ya Ukweli-pelekeni Vijana China, Russia, USA, GERMAN, UK; ) magari, mabomu, makombora, ndege, madawa hata ya UKIMWI watafute tiba wao).

NI MAAJABU ETI POLISI WA TZ HAJUI KUTEGUA BOMU KARNE YA 21!!!
NINA NIA NZR. NAIPENDA SN TZ YENYE AMANI NA MSHIKAMANO. SI INGILII MAMLAKA ZENU ILA NI USHAURI TU.
MUNGU WABARIKI TISS, SUMA JKT, POLICE WOTE,& JWTZ WAZIDI KUTII MAMLAKA ZA JUU KWA NIDHAMU MLIYOFUNDISHWA!
 
Jeshi hili no matter ni sahihi kwa madai yao c Mara ya kwanza kupiga tukio Kama hilo discipline low
 
$8000 = m16 na ushehere, hii sio pesa ndogo...na kwa uchumi gani walio nao hasa wa kuwalipa pesa yote hio?hio mishahara inawezekana kwa inchi zilizoendelea kiuchumi sio inchi zetu zinazoendelea...people need to be reliastic not greed kuliko uwezo wao
 
Kabla ya kuanza kuandika upuuzi jiulize nani kamuingiza Outtara madarakani? Kama unataka kumtoa Mzungu kwenye hii equation, kwa nini Majeshi ya Ufaransa yaliingia Ivory Coast kwenda kumkamata Gbagbo kwa nguvu?
Unajua ninyi ccm mmezoea kunyang'anya ushindi wa watu ndo unaona hata Gbagbo alikuwa sahihi pumbavvvv, shwaini? Hivi unajua kuwa Gbagbo alikuwa ameshindwa kwenye kura ndo akataka kupindisha matokeo kama Sheini wa ccm alivyofanya kule Zanzibar? Sasa mpumbavu mwingine yuko hapo Gambia naye anataka kung'ang'ania madaraka pamoja na kuwa alishindwa kwenye kura! Barbarosa mke wangu mwe mnauliza kwanza shida ilikuwa nini, siyo kukurupuka tu kama nimekufumania kwenye ugoni!!
 
Unajua ninyi ccm mmezoea kunyang'anya ushindi wa watu ndo unaona hata Gbagbo alikuwa sahihi pumbavvvv, shwaini? Hivi unajua kuwa Gbagbo alikuwa ameshindwa kwenye kura ndo akataka kupindisha matokeo kama Sheini wa ccm alivyofanya kule Zanzibar? Sasa mpumbavu mwingine yuko hapo Gambia naye anataka kung'ang'ania madaraka pamoja na kuwa alishindwa kwenye kura! Barbarosa mke wangu mwe mnauliza kwanza shida ilikuwa nini, siyo kukurupuka tu kama nimekufumania kwenye ugoni!!


Swali Majeshi ya Ufaransa yalifwata nini Abidjani kama unataka Mzungu asihusishwe hapa?
 
Unamtetea Jammeh? Hana manusra


Simtetei kwa maana simjui, ila ninachotetea ni Sheria za Kimataifa zifwate, kwamba hakuna Nchi yenye haki ya kuivamia nchi nyingine kama hiyo nchi haijaichokoza nchi yoyote ile, ni rahisi kihivyo tu, kinachoendelea ndani ya nchi nyingine hakipaswi kukuhusu wewe usiwe Raia wa hiyo nchi na kama kuna umuhimu wa kufanya hivyo kuna chombo cha kufanya hivyo nacho ni UNSC (UN) kinyume na hapo ni uvamizi!
 
Back
Top Bottom