Jeshi LA Ivory Coast lakinukisha!

Jeshi LA Ivory Coast lakinukisha!

Mmmh hayo ndio madhara ya kuajiri kila mwaka wanajeshi 2000 hata kama nchi haipo vitani na haina viashiria ya vita au hatari! ILI

Kwa nchi kama Tz isiyo na vita; bora Walimu na madaktari ndio wa andamane.
NASHUKURU SN VYOMBO VYA ULINZI KWA KULINDA MIPAKA YETU, AMANI YETU, NA RAIA WAKE WOTE. BILA KUSAHAU ULINZI ALIONAO KWA SASA MHE: RAIS Dr. JOHN P. MAGUFULI. NAFAHAMU ANA MAADUI KIBAO.

ILI HAYO YA IVORY COAST YASITOKEE TZ, JESHI LETU LIFANYE HAYA:

1. Wa ajiri std 7 (Tall, black , full of meat, chest, katili,nk) kama 3000 na wasambazwe Dar, Mwz na Arusha. Kazi ni kudili na Vigodoro, Kanga Moko, Panya Road, Majambazi, Vibaka, nk. Watakuwa hawaonekani mchana (hulala), kazi yao ni usiku tu. HAKUNA KUZOEANA NA RAIA.
Na tuache siasa ktk Jeshi eti nafasi 2000 kila mkoa 100 hakuna hiyo. MARA muwape hata 1000. Naturally, they are born Soldiers. Chondechonde tusi wa Ignore std 7 ktk jeshi letu. Hawa wasomi ni legelege sn afu waoga mnoo!! Muiba tu ukimchoma hadi kwa doctor ndio autoe.

2. Jeshi letu liwe na Vikosi maalum vya kudeal na Ugaidi tu. Achana na hizi kelele za Mwigulu eti Rwakatare ni gaidi. Hajui ugaidi na haujaingia Bongo. Viwanja vyetu vya mipira vimezungukwa na misitu, gaidi kupenya ni raisi sn na kuua mamia. Hakuna check points Bank, Big supermarkets, viwanjani-michezoni, matamasha na warsha, mikutano ya Injili na ya kisiasa, music, nk.
Msipende kuwa singizia Al-Shabab hawajaingia. Bongo tuko uchi mno kwa Al-Shabab. Tujiandae mapema. Hawa wa track Money transfer, wasafiri wa anga, Drug dealers, na kuwekeza ktk majasusi yaliyo kubuhu!!

3. IT based Army. Hayo matofali wanayo pasua, misumari mara kuvuta magari havina tija karne ya 21. Tunaweza kuwa na jeshi dogo lakini lenye nguvu sn iwapo litaendana na technolojia. Mf. Tumpige MALAWI ndani ya dk 20 tu, nchi yote ni Moshi!!! Hakuna haja ya kwenda Maputo Physically. DRONES, JETS, BOMBS, Submarines, nk. Jeshi liwe na wabunifu ktk IT (ya Ukweli-pelekeni Vijana China, Russia, USA, GERMAN, UK; ) magari, mabomu, makombora, ndege, madawa hata ya UKIMWI watafute tiba wao).

NI MAAJABU ETI POLISI WA TZ HAJUI KUTEGUA BOMU KARNE YA 21!!!
NINA NIA NZR. NAIPENDA SN TZ YENYE AMANI NA MSHIKAMANO. SI INGILII MAMLAKA ZENU ILA NI USHAURI TU.
MUNGU WABARIKI TISS, SUMA JKT, POLICE WOTE,& JWTZ WAZIDI KUTII MAMLAKA ZA JUU KWA NIDHAMU MLIYOFUNDISHWA!
umeandika kama unatoka kuangalia series ya kikorea, inaonesha hujui chochote kuhusu masuala ya kiulinzi, games unazoangalia zina uhusiano kidogo na hali halisi!
 
Kabla ya kuanza kuandika upuuzi jiulize nani kamuingiza Outtara madarakani? Kama unataka kumtoa Mzungu kwenye hii equation, kwa nini Majeshi ya Ufaransa yaliingia Ivory Coast kwenda kumkamata Gbagbo kwa nguvu?
Wewe uko sawa kweli? Siku ya kumkamata Ouattara hakukua na mzungu yeyote
 
umeandika kama unatoka kuangalia series ya kikorea, inaonesha hujui chochote kuhusu masuala ya kiulinzi, games unazoangalia zina uhusiano kidogo na hali halisi!
Endelea kuota.
Tuambie mjuaji.
 
acha uongo hao wako kwenye mission za UN, picha haiendani na maada
 
US§ 8000? Kuzitaka hizi kwa senegal ni sawa na marehem wetu aliyetufikisha hapa tulipo bila katiba kutaka maziwa na siagi udsm!
umeelewa lakini kilichoko mezani au unaegemea kulaumu usichokijua? Senegal imeingiaje wakati maada inaongelea wanajeshi wa Ivory coast, stpd hog
 
Mpuuzi ndiyo jina linalokufaa.Waliosema Urusi imehujumu uchaguzi wa Marekani ni weusi.Kama unawapenda na kuwaamini kiasi hicho jibadili uwe mwenzao.
Usipende kudandia gari kwa mbele utaumia.nani kazungumzia mambo ya urusi hapa?
 
Hizi habari bora msingezileta humu. Zina madhara sana kwa watumishi ambao sio wajeda kwa bongo. Naona kidalili cha kuanza kutekelezwa sharti hilo la mpunga wa dola 8000 kabla mwenge haujavuka kijiji japo mtekelezaji siyo alioambiwa atekeleze.

Mungu epusha taifa letu lisifike huko. Amani kwanza.
 
Swali Majeshi ya Ufaransa yalifwata nini Abidjani kama unataka Mzungu asihusishwe hapa?
Yalimfuata mtu aliyetaka kungangania madaraka wakati wananchi walikuwa wamemkataa kwenye sanduku la kura! majizi makubwa ccm nyie!!
 
umeelewa lakini kilichoko mezani au unaegemea kulaumu usichokijua? Senegal imeingiaje wakati maada inaongelea wanajeshi wa Ivory coast, stpd hog
Ye monkey of Africa shut up your posterior end for it smelling, and never use it again to quote my comment nor comment anything in jf.
 
Ye monkey of Africa shut up your posterior end for it smelling, and never use it again to quote my comment nor comment anything in jf.
kwa hiyo huto tukingereza twako ndo umeona pa kufichia ufallah wako? maada inahusu Ivory coast wewe unaongelea Senegal, halafu hutaki kukosolewa wajinga nchi hii wengi sana, na huto tukingereza twa nursery hahahaaaaaa
 
kwa hiyo huto tukingereza twako ndo umeona pa kufichia ufallah wako? maada inahusu Ivory coast wewe unaongelea Senegal, halafu hutaki kukosolewa wajinga nchi hii wengi sana, na huto tukingereza twa nursery hahahaaaaaa
Foolish litle monkey go back and re-read what you ended with on quoting my first comment.
I acknowledge my misnaming the country in question but your quotation to my comment ended with something signifying that you are monkey, yes I say you are monkey-monkey of Africa.
 
Foolish litle monkey go back and re-read what you ended with on quoting my first comment.
I acknowledge my misnaming the country in question but your quotation to my comment ended with something signifying that you are monkey, yes I say you are monkey-monkey of Africa.
hey little rodent aren't you even ashamed? for how long will you proceed exposing your short sighted thoughts? since you misnamed the country then why are you still sneezing such meaningless statements? I bet you're more than any idiot you're merely a cocksucker mind your own premises
 
hey little rodent aren't you even ashamed? for how long will you proceed exposing your short sighted thoughts? since you misnamed the country then why are you still sneezing such meaningless statements? I bet you're more than any idiot you're merely a cocksucker mind your own premises
Foul mouthed gay go *** yo mama. Tell her she's so lucky to have such a mother fucking son like ye.
 
Kabla ya kuanza kuandika upuuzi jiulize nani kamuingiza Outtara madarakani? Kama unataka kumtoa Mzungu kwenye hii equation, kwa nini Majeshi ya Ufaransa yaliingia Ivory Coast kwenda kumkamata Gbagbo kwa nguvu?
Kwani uchaguzi alitangazwa nani mshindi?
 
Back
Top Bottom