Jeshi jeshi jeshi

In this life there are two things involved, it is either you are a woman or you are man! if you are a woman you are safe! if you are a woman you are safe! if you are a man there are two things involved, it is either you are a civilian or you are in the military, if you are a civilian you are safe, if your in the military there are two things involved............mtamalizia nyie mnaopenda jeshi

Mnalipenda kwelii au njaa njaa zenu za ajira ndo zinawaforce kulikimbilia? ni bora ujiulize mara mbili je ni kweli unalipenda jeshi je? mikiki mikiki yake utaiweza masharti yake utayavumilia kwa zaidi ya miaka 20 utakayolitumikia je moyo wako utakuwa na amani kuvaa magwanda badala ya casual outfits kwa miaka hiyo? usije kuwa umekaa mtaani umekosa dira so unaona jeshi ndo kimbilio utajutaa!
 
wataujua cz kupiga kwata bila kujua lini utapewa ajira cz ukitika hko tena ukipata jwt nako kozi nyingne
 
Hao wanaoshauriwa kupeleka CV ni wenye utaalamu flani flani, kama wewe ni Mhasibu, Mhandisi,Mwanasheria,Mchumi nk, ndio kusema utaratibu wa kupeleka CV pale ngoe hauwahusu FM 6 na FM 4 hawa lazima waingie kwenye chekecheo kali la JKT kwanza...
 
Je ni lazima utaje unamapenzi na chama gani kati ya chadema na CCM?
 
Onyo: kazi ya Jeshi si lelemama wala hakuna masuala ya kubembelezana, pale unaenda kuitumikia nchi kwa Nguvu na akili yako yote, sasa wale msio na discipline ya mnaojibu hvyo wakubwa na kutoa mitusi ya kienyeji, Msio na ubunifu na maono ya Uzalendo, kama unataka utajiri wa haraka na Pia huna uvumilivu kwa hali zote,( Mvua na Jua) kama afya yako gogoro nawashaur usisogee maana utajuta kwanini uliomba...Kwa ufupi mtiti wa Jeshi si wa kawaida....
 
Jw si mchezo jaman,wanapima kila ki2...karibuni sana
 
ni ushauri au msaada ndugu sijakusoma?
huyo jamaa muongo jeshi bado hawajatangaza kazi, ila kuna nafasi za kujitolea kwa anayetaka kujiunga na JKT zimetangazwa, kwa taarifa zaidi nenda ofisi yeyote ya mkuu wa wilaya unayoishi kwa taarifa zaidi za jinsi ya kuomba na kufahamu deadline
 
Mimi mbona hata JKT poa tu, je uhakika wa kujiunga jwtz upo baada ya JKT?
 
Siku nitakapopewa nyota ya kwanza!
Sitaamini macho yangu!
 
jeshin heshima kwanza elimu nyuma....................baada ya hapo utapata nyota kama shanga
 
kazi Ya Jeshi Naiota Toka Zamani, Ila Kwa Kaelimu Kangu haka Naona Nitaenda Kujizika Kwa Mikono Yangu Mwenye!
Bora Nikomae Uraiani!
 
Mie nasubiri mpaka mwaka 2015, najua wakati huo mishahara na marupurupu vitaboreshwa na chama langu la CHADEMA.

labda jeshi la mgambo wa CHADEMA kukamata wanaochafua Halmashauri Karatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…