mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 22,312
- 55,969
Kuna mwaka Hussein Bashe na Kigwangala nusura wauane wakigombea jimbo la Nzega.
Tume ya uchaguzi ikaamua ugomvi kidiplomasia,jimbo likagawanywa,Nzega mjini,Nzega vijijini,wilaya ikawa na majimbo matatu ukijumlisha na Bukene
Kuna mtu anaitwa Deus mkuu wa wilaya Tabora mzaliwa wa Chato,mfumo ulimuandaa awe mbadala wa Dk Kalemani,ghafla Jesca naye akaibuka analitaka jimbo,
Tume imeanzisha jimbo jipya la Katoro ambalo litachukua sehemu ya Busanda na Chato
Ukiacha hapo kuna jimbo jipya la Chato Kusini
Ndio kusema mkoawaGeita umepatiwa majimbo mapya mawili,kazi kwake Jesca
Huko kote jina la Magufuli linapendwa na kukubalika ni kama nyumbani.
Popote Jesca atakapochukua fomu hana mpinzani
CCM ina wenyewe
Tume ya uchaguzi ikaamua ugomvi kidiplomasia,jimbo likagawanywa,Nzega mjini,Nzega vijijini,wilaya ikawa na majimbo matatu ukijumlisha na Bukene
Kuna mtu anaitwa Deus mkuu wa wilaya Tabora mzaliwa wa Chato,mfumo ulimuandaa awe mbadala wa Dk Kalemani,ghafla Jesca naye akaibuka analitaka jimbo,
Tume imeanzisha jimbo jipya la Katoro ambalo litachukua sehemu ya Busanda na Chato
Ukiacha hapo kuna jimbo jipya la Chato Kusini
Ndio kusema mkoawaGeita umepatiwa majimbo mapya mawili,kazi kwake Jesca
Huko kote jina la Magufuli linapendwa na kukubalika ni kama nyumbani.
Popote Jesca atakapochukua fomu hana mpinzani
CCM ina wenyewe