Jesca Magufuli ametengenezewa jimbo la Katoro?

Jesca Magufuli ametengenezewa jimbo la Katoro?

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
22,312
Reaction score
55,969
Kuna mwaka Hussein Bashe na Kigwangala nusura wauane wakigombea jimbo la Nzega.
Tume ya uchaguzi ikaamua ugomvi kidiplomasia,jimbo likagawanywa,Nzega mjini,Nzega vijijini,wilaya ikawa na majimbo matatu ukijumlisha na Bukene

Kuna mtu anaitwa Deus mkuu wa wilaya Tabora mzaliwa wa Chato,mfumo ulimuandaa awe mbadala wa Dk Kalemani,ghafla Jesca naye akaibuka analitaka jimbo,
Tume imeanzisha jimbo jipya la Katoro ambalo litachukua sehemu ya Busanda na Chato

Ukiacha hapo kuna jimbo jipya la Chato Kusini

Ndio kusema mkoawaGeita umepatiwa majimbo mapya mawili,kazi kwake Jesca

Huko kote jina la Magufuli linapendwa na kukubalika ni kama nyumbani.

Popote Jesca atakapochukua fomu hana mpinzani

CCM ina wenyewe
 
Kuna mwaka Hussein Bashe na Kigwangala nusura wauane wakigombea jimbo la Nzega.
Tume ya uchaguzi ikaamua ugomvi kidiplomasia,jimbo likagawanywa,Nzega mjini,Nzega vijijini,wilaya ikawa na majimbo mataru ukijumlisha na Bukene

Kuna mtu anaitwa Deus mzaliwa wa Chato,mfumo ulimuandaa awe mbadala wa Dk Kalemani,ghafla Jesca naye akaibuka analitaka jimbo,
Tume imeanzisha jimbo jipya la Katoro ambalo litachukua sehemu ya Busanda na Chato.maeneo yanayotarajiwa kutengeneza jimbo jipya n Chato,buseresere,bwanga,rumasa,buziku nk
Huko kote jina la Magufuli linapendwa na kukubalika ni kama nyumbani.
Popote Jesca atakapochukua fomu hana mpinzani
Tayari hiyo.
 
Kuna mwaka Hussein Bashe na Kigwangala nusura wauane wakigombea jimbo la Nzega.
Tume ya uchaguzi ikaamua ugomvi kidiplomasia,jimbo likagawanywa,Nzega mjini,Nzega vijijini,wilaya ikawa na majimbo mataru ukijumlisha na Bukene

Kuna mtu anaitwa Deus mzaliwa wa Chato,mfumo ulimuandaa awe mbadala wa Dk Kalemani,ghafla Jesca naye akaibuka analitaka jimbo,
Tume imeanzisha jimbo jipya la Katoro ambalo litachukua sehemu ya Busanda na Chato.maeneo yanayotarajiwa kutengeneza jimbo jipya n Chato,buseresere,bwanga,rumasa,buziku nk
Huko kote jina la Magufuli linapendwa na kukubalika ni kama nyumbani.
Popote Jesca atakapochukua fomu hana mpinzani
Aha ha aha siasa raha ni.kuzawadiana tu hela
 
Kuna mwaka Hussein Bashe na Kigwangala nusura wauane wakigombea jimbo la Nzega.
Tume ya uchaguzi ikaamua ugomvi kidiplomasia,jimbo likagawanywa,Nzega mjini,Nzega vijijini,wilaya ikawa na majimbo matatu ukijumlisha na Bukene

Kuna mtu anaitwa Deus mkuu wa wilaya Tabora mzaliwa wa Chato,mfumo ulimuandaa awe mbadala wa Dk Kalemani,ghafla Jesca naye akaibuka analitaka jimbo,
Tume imeanzisha jimbo jipya la Katoro ambalo litachukua sehemu ya Busanda na Chato

Ukiacha hapo kuna jimbo jipya la Chato Kusini

Ndio kusema mkoawaGeita umepatiwa majimbo mapya mawili,kazi kwake Jesca

Huko kote jina la Magufuli linapendwa na kukubalika ni kama nyumbani.

Popote Jesca atakapochukua fomu hana mpinzani

CCM ina wenyewe
Tafadhali sana ,ambao hamjaoa , muhoeni uyu binti atulizane , mama Mwendazake alikua mwalim, so huyu binti atulize mshono , wenda Mungu alicho mpangia sio ichi anacho pambana nacho kukipitia mgongo wa baba yake alie kua juu, yampasa kupitia historia ya baba yake kwamba alifikaje juu.
 
Tafadhali sana ,ambao hamjaoa , muhoeni uyu binti atulizane , mama Mwendazake alikua mwalim, so huyu binti atulize mshono , wenda Mungu alicho mpangia sio ichi anacho pambana nacho kukipitia mgongo wa baba yake alie kua juu, yampasa kupitia historia ya baba yake kwamba alifikaje juu.
Upo Tz hii ya ccm? Utakua mgeni kutoka mashariki ya mbali
Huyo wala hapambani, anaandaliwa tu nafasi ya kuwekwa Kama ilivyokua kwa kina riziwani, wanu na wengine. Mnaopambana ni nyie maskini
 
Back
Top Bottom