KaTeM
Senior Member
- Sep 10, 2024
- 127
- 93
Yule ni,chawa asie jielewa na haya majimbo yanaenda kwa,nambaLucas Mwashambwa haja gaiwa jimbo ?
Yule ni,chawa asie jielewa na haya majimbo yanaenda kwa,nambaLucas Mwashambwa haja gaiwa jimbo ?
Sijakuelewa mkuuBwaha!!! Bwaha!! Bwaha!!! Bwahahahaaaa!!!
Hv nipige ngapi vile kamanda Ili nipate zaidi hv vichekesho?!!!
Jesca magufuli atagombea viti maalum mkoa wa geita na tayari jina limeshapitishwaKuna mwaka Hussein Bashe na Kigwangala nusura wauane wakigombea jimbo la Nzega.
Tume ya uchaguzi ikaamua ugomvi kidiplomasia,jimbo likagawanywa,Nzega mjini,Nzega vijijini,wilaya ikawa na majimbo matatu ukijumlisha na Bukene
Kuna mtu anaitwa Deus mkuu wa wilaya Tabora mzaliwa wa Chato,mfumo ulimuandaa awe mbadala wa Dk Kalemani,ghafla Jesca naye akaibuka analitaka jimbo,
Tume imeanzisha jimbo jipya la Katoro ambalo litachukua sehemu ya Busanda na Chato
Ukiacha hapo kuna jimbo jipya la Chato Kusini
Ndio kusema mkoawaGeita umepatiwa majimbo mapya mawili,kazi kwake Jesca
Huko kote jina la Magufuli linapendwa na kukubalika ni kama nyumbani.
Popote Jesca atakapochukua fomu hana mpinzani
CCM ina wenyewe
Mungu akubarikiYule ni,chawa asie jielewa na haya majimbo yanaenda kwa,namba
Soma kwa umakini kamandaSijakuelewa mkuu
Hakuna kamanda mwepesi anaetegemea pingu kumsulubu alie mbele yake ,kamanda wa kweli lazima zichapwe live , na kupeana heshimaSoma kwa umakini kamanda
Technology ipo kufanya nini?!!!Hakuna kamanda mwepesi anaetegemea pingu kumsulubu alie mbele yake ,kamanda wa kweli lazima zichapwe live , na kupeana heshima
Siamini kama magufuli aliiba pesa kama kikwete na familia yakeRizwan na mama Salma wanahela kuliko Jesca ila hawataki kutoka mjengoni
AminaMungu akubariki
Mambo ya ajabu sanaNchi masikini Bunge lina zaidi ya wabunge 200.
Kalemani kawakosea nini?Kuna mwaka Hussein Bashe na Kigwangala nusura wauane wakigombea jimbo la Nzega.
Tume ya uchaguzi ikaamua ugomvi kidiplomasia,jimbo likagawanywa,Nzega mjini,Nzega vijijini,wilaya ikawa na majimbo matatu ukijumlisha na Bukene
Kuna mtu anaitwa Deus mkuu wa wilaya Tabora mzaliwa wa Chato,mfumo ulimuandaa awe mbadala wa Dk Kalemani,ghafla Jesca naye akaibuka analitaka jimbo,
Tume imeanzisha jimbo jipya la Katoro ambalo litachukua sehemu ya Busanda na Chato
Ukiacha hapo kuna jimbo jipya la Chato Kusini
Ndio kusema mkoawaGeita umepatiwa majimbo mapya mawili,kazi kwake Jesca
Huko kote jina la Magufuli linapendwa na kukubalika ni kama nyumbani.
Popote Jesca atakapochukua fomu hana mpinzani
CCM ina wenyewe
"Popote atakapochua fomu hana mpinzani" Kampeni tayari! Wagawe na Ikulu awe Rais wa Tanzania vijijiniKuna mwaka Hussein Bashe na Kigwangala nusura wauane wakigombea jimbo la Nzega.
Tume ya uchaguzi ikaamua ugomvi kidiplomasia,jimbo likagawanywa,Nzega mjini,Nzega vijijini,wilaya ikawa na majimbo matatu ukijumlisha na Bukene
Kuna mtu anaitwa Deus mkuu wa wilaya Tabora mzaliwa wa Chato,mfumo ulimuandaa awe mbadala wa Dk Kalemani,ghafla Jesca naye akaibuka analitaka jimbo,
Tume imeanzisha jimbo jipya la Katoro ambalo litachukua sehemu ya Busanda na Chato
Ukiacha hapo kuna jimbo jipya la Chato Kusini
Ndio kusema mkoawaGeita umepatiwa majimbo mapya mawili,kazi kwake Jesca
Huko kote jina la Magufuli linapendwa na kukubalika ni kama nyumbani.
Popote Jesca atakapochukua fomu hana mpinzani
CCM ina wenyewe