bandu bandu
JF-Expert Member
- Sep 7, 2013
- 2,747
- 874
Yaani JK kweli ni chiboko yao, huyu jamaa ni msanii na anajuwa haswa kulostisha watu. Mawaziri wake wote wamesahaulika kwa muda mfupi tu, wengine wanazidi kukesha kwa waganga kupinga matokeo ya ubunge majimboni mwao ili wabahatishe kuchaguliwa tena uwaziri. Kikwete oyeee, sambaratisha babake.
Kama yule aliyekuwa tamisemi kapotezwa mbaya,ila ki ukweli hakuwa na sifa hata chembe,sasa hivi anahangaika tu bungeni na ushungi wake