Malafyale
Platinum Member
- Aug 11, 2008
- 13,897
- 11,292
Jerry SlaaMimi ni moja ya watu ambao niliamini kijana huyu alie wahi kuwa Meya wa Ilala angechomoza na kutamalaki katika hawamu hii ingawa alikosa ubunge jimbo la Ukonga, swali langu kubwa nikipi hasa kimempoteza haraka kijana huyu kwenye ulingo wa siasa?Maana baada ya kukosa ubunge wengi tulitegemea atachomoza kwenye uRC na uDC.
Mama Sofia Simba
Dr Nchimbi
Ndiyo walio ongoza mgomo ktk sekretarieti Kuu kupinga kuenguliwa jina la Lowassa bila kupigiwa kura!
Watu hawa watatu hawatakiwi kabisa ndani ya CCM kwa sasa
Mama Simba atakatwa kuwania uenyekiti wa Wanawake CCM ili asiingie Bungeni mwaka 2020!Husna Mwalima Mbunge aliyemuangusha Kafulila Kigoma ndiye atachukua nafasi yake