Umekosea mkuu. Sifa ya kujiunga na LST ni lazima uwe na LL.B. Jerry alihitimu LL.B yake OUT 2015, sasa cohort ya 20 aliingiaje? As we speak now cohort ya 20 wako field, na cohort ya 21 masomo yalianza mwezi March. Can you make these calculations to prove what you're saying?Mkuu niliongea nae pale akiwa cohort ya 20 na Mama Jaji Dr Fauzia
Commercial Laws kidogo zilikuwa zinamsumbua
Labda walimkamata na ww ndiyo ukamkuta
Anyway labda mm ndiyo mechanganya!