Jerry Muro: Tundu Lissu njoo uone

Jerry Muro: Tundu Lissu njoo uone

Nyie hii dhambi ya ukabila ilishawamaliza cku nyingi sana badilikeni wakati Wanyarwanda wanapambana kuondoa kuulizana ww kabila gani?Wao cku hizi ukiwauliza which tribe are you?they are always responding "We are all Rwandans!!!! Lkn sasa cku hizi kuna watu wakisikia tu uteuzi wanauliza yule kabila gani?Jamani tuwe na kauli moja sisi wote ni Watz
Mbona mh raisi anahutubia taifa na kutoa maamuzi akiwa kanisani hilo nalo limekaaje?
 
Kwa kuonyesha mizawadi yake na kutishia kusema kaz za lema kabla ya ubunge?.hakuna nafasi za hovyo hovyo...atafite kaz ya kufanya...
 
We na siasa wapi na wapi ?au ndo njaa umejazwa pesa upambane na wapinzani ?Mimi nakujua vizuri sana tumesoma na kukua pamoja acha kujifanya unajua
....mwizi wa vitabu library ya Loyola [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...Jerry bwana!!!
 
Kitu nilichokiona Kwa muro Ni kwamba kuna mtu alimwambia kwamba una kipaji cha propaganda uchwara sasa hebu ihamishe hzo propaganda toka kwenye mpira hadi kwenye siasa zitakutoa Na Nafikir maneno hayo anayafanyia kazi kweli kweli sasa kinachotakiwa Na wanachadema kuwa smart zaid yake akileta propaganda zangu Ni wakumpuuza hafai kujibiwa kwan ukimjibu Ni unazidi kumpandisha chati huyu Ni wa kupuuzwa kabisa hastahili kujibiwa Kwa lolote
 
Cha muhimu magufuli ndio alio fichua huu wizi na ameweza kuipatia tanzania 300m. Kabla yake walikuwepo marais wawili,na msururu wa wabunge wa upinzani. Mbona hakuna hata mmoja aliejaribu?

Jiulize hao wawili wamekusanya kiasi gani kwa kodi kwa muda huu ambao mgodi umesimama na uzalishaji kushuka, hao maraisi waliopita ndio waliokuwa wanakwenda nje kutafuta wawekezaji na fedha pamoja na kukuza huu uchumi ambao matokeo yalipaswa kuonekana muda huu yeye anaharibu kwa kuwa too mechanical badala ya kuwa rational human being. Hakuna wizi sababu hakuna kesi mahakamani ya hao wezi aliyopeleka Magufuli zaidi anatimiza wajibu wake kama alivyoomba lakini anatia shaka kwa kuchagua sehemu ambazo yeye anafanya maamuzi zaidi na kusifiwa.

Yale yanayohusu maisha ya watu wengi, hata wasaidizi wake wanaendelea kutoa maumivu kwa wananchi wasio na hatia Lukuvi na yule wa Uvuvi inatosha kukupa picha, uliona wapi serikali inaonea raia kwa kuuza mifugo yao na kukata mazao kwa sababu ambazo watu mnaweza kaaa chini na kutatua, nyumba zinabomolewa yeye anataka kuombewa na kusifiwa kila kukicha. Traffic ndio balaa huko barabarani.
 
Mgonjwa amezinduka wakati mzuri sana...Wakati ambao wanaume wameshamaliza mapambano

Mgonjwa alisema kuzuia mchanga wa madini ni kosa kubwa na tutashtakiwa MIGA leo hii mgonjwa kazinduka na kuamka na kukuta tayari waliosema watatushtaki wamekaa meza moja na serikali na wamekubaliana na serikali mambo mbali mbali hali hii sio nzuri sana kwa mashabiki wa mgonjwa huyo wamesahau kuwa mgonjwa alibeza na kusema tutashtakiwa MIGA na tutawalipa wazungu mapesa mengi sasa hv wamebadilishia gia angani na kusema tumepewa pesa kiduchu sana wamesahau habar ya kushtakiwa na miga pamoja na kulipa pesa nyingi hahaaaaa..JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI THE PRESIDENT OF UNITED REPUBLIC OF TANZANIA kanyaga twende Rais wa watanzania shujaa wetu umezaliwa uchi bila nguo na utazikwa uchi bila nguo zaidi ya kuzikwa kwenye jeneza la futi 6
 
Kwahiyo wanaume wa Barrick wameshamalizana na wanawake wa hapa?
tz daima.jpg


Wewe ni mmoja wa hawa BAVICHA waliotajwa kwenye gazeti lenu?
 
Ibilisi wa mizigo, shetani mtoa roho, kukosolewa hapa bongo ni kosa la kifo
 
Mgonjwa amezinduka wakati mzuri sana...Wakati ambao wanaume wameshamaliza mapambano

Mgonjwa alisema kuzuia mchanga wa madini ni kosa kubwa na tutashtakiwa MIGA leo hii mgonjwa kazinduka na kuamka na kukuta tayari waliosema watatushtaki wamekaa meza moja na serikali na wamekubaliana na serikali mambo mbali mbali hali hii sio nzuri sana kwa mashabiki wa mgonjwa huyo wamesahau kuwa mgonjwa alibeza na kusema tutashtakiwa MIGA na tutawalipa wazungu mapesa mengi sasa hv wamebadilishia gia angani na kusema tumepewa pesa kiduchu sana wamesahau habar ya kushtakiwa na miga pamoja na kulipa pesa nyingi hahaaaaa..JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI THE PRESIDENT OF UNITED REPUBLIC OF TANZANIA kanyaga twende Rais wa watanzania shujaa wetu umezaliwa uchi bila nguo na utazikwa uchi bila nguo zaidi ya kuzikwa kwenye jeneza la futi 6
Duhh!!! Ikifika mwakani mwezi january naomba urudi tena hapa na uanzishe thread kutuambia umenufaika nini na hiki unachokishabikia.
 
Duhh!!! Ikifika mwakani mwezi january naomba urudi tena hapa na uanzishe thread kutuambia umenufaika nini na hiki unachokishabikia.
Nitakupa jibu mwezii wa 11 sababu ni mmoja wa wale elfu 59 watakaopandishwa mishahara so chilax
 
Bila ya kubeza mafanikio, ila ajira 2000 na contractors 800 wapotee kwenye uchumi lazima uombe poo tu mwenyewe.
 
Nakumbuka wakina kombani,6 walizijadili sana afya za watu kilichofuata ni maamuzi ya Mungu tu mgonjwa had leo anadunda mpiga pushap anahangaika kila mara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom