Jumbes
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 245
- 372
Kipindi kile Jerry Muro alipopata na janga la rushwa nilimhurumia mno nikidhan ni Mtu mwema sana, nilikuwa nikibishana sana na Polisi waliokuwa wakishangilia kukamatwa kwake Muro lakinnimejiridhisha pasipo mashaka, huyu Mtu siyo mzuri kbsa, ni mbinafsi na mnafikimwenye uwezo wa kufanya kitendo kibaya kwa Binadamu ili tu kumridhisha yule anayemtumikia!
Hutuba na Makala za Jerry Muro,sinadhihilisha moja kwa moja alivyo Mtuhatari. Yesu enzi zake,alipambana na watu wa aina km Muro maana aliwajua walivyo hatari kwa Binadamu wenzie.
Hutuba na Makala za Jerry Muro,sinadhihilisha moja kwa moja alivyo Mtuhatari. Yesu enzi zake,alipambana na watu wa aina km Muro maana aliwajua walivyo hatari kwa Binadamu wenzie.